msimu huu tumewekeza 800 million Tshs, msimu ujao 2.5 billion Shs speed yetu ni ya kinyonga lkn tutafikia kwenye level ya kulamba asali na maziwa, Football haihitaji shortcut kama nyie mnavyodhani leo tunawaona AL AHLY wanafanya vizuri kwenye Mashindano ya vilabu Afrika sio kwa bahati isipokuwa wenzetu walishatumia rasili mali muda na fedha na zikawaletea mafanikio lazima tukubali huu ukweli, Mpira wa sasa hauna eti tuiombee timu yetu ishinde kama una timu dhaifu kama Simba sports hata uombewe na manabii na mitume huwezi kuvuka hii hatua ya robo fainali.