ILE NI LIGI YA MABINGWA COMRADE USIFANANISHE KULE NA MLIKO NINYI KULE TIM U NYINGI ZIMEWEKEZA MUDA NA PESA, HEBU IANGAILIE ILE TIMU PETRO DE LUANDA KWA MISIMU MIWILI TU BAJETI YAKE NI ZAIDI YA BILIONI 23 SASA UTAWEZA KUIFANANISHA NA SIMBA SPORTS AMBAYO BAJETI YAKE KWA MWAKA HAIVUKI HATA BILLIONI TANO, INAFIKIA HATUA LAZIMA TUKUBALI HALI HALISI TUSIWEKE MAPENZI MBELE, KUUKUBALI UKWELI NDIO UTAKAO TUFANYA TUPIGE HATUA NA SIO MASUALA YA KUWEKA MAHABA KWENYE HAKUNA.Timu yako ya Yanga inayoweza inashiriki michuano ipi ya CAF?, Tumeshawazoea nyie washabiki oyaoya wa mpira.
Tangu awali mlibweka na kubwabwaja eti SSC hafiki popote na hawezi mfunga yoyote ila mwisho wa siku shingo zenu mlizilaza kbra kisa kikapita.
Kwenye hatua hii ya robo finali ya michuano ya CAF msimu huu nani alijua Mamelodi na Esperance de Tunis wataagia mashindano kwao?.
Wenye akili butu kama wewe siku zote mnaenda na matokeo kichwani huku bila kujua uhalisia wa matokeo ni dakika 90.
Kwenye hii hatua tuachie SSC wenyewe tupambane kwa damu na jasho kuifuta Tanzania machozi ya kichwa cha mwendawazimu.
NOTEDOn whether Simba’s advantage from the first leg is enough, I don't think so. I think Pirates have very good players and 1-0 victory isn’t a comfortable lead to take to South Africa. It is not enough considering Pirates are very good when playing at home.
Wengine tutawazika kabisa [emoji1787][emoji1787]Simba ikifuzu nusu fainali kuna watu wataumwa na kuzidiwa kabisa...[emoji23][emoji23]
Timu lako limewekeza shingapi?ILE NI LIGI YA MABINGWA COMRADE USIFANANISHE KULE NA MLIKO NINYI KULE TIM U NYINGI ZIMEWEKEZA MUDA NA PESA, HEBU IANGAILIE ILE TIMU PETRO DE LUANDA KWA MISIMU MIWILI TU BAJETI YAKE NI ZAIDI YA BILIONI 23 SASA UTAWEZA KUIFANANISHA NA SIMBA SPORTS AMBAYO BAJETI YAKE KWA MWAKA HAIVUKI HATA BILLIONI TANO, INAFIKIA HATUA LAZIMA TUKUBALI HALI HALISI TUSIWEKE MAPENZI MBELE, KUUKUBALI UKWELI NDIO UTAKAO TUFANYA TUPIGE HATUA NA SIO MASUALA YA KUWEKA MAHABA KWENYE HAKUNA.
Simba ikishinda na ndoto kutimia, atakuwa na sababu kubwa zaidi ya kuamini ilikuwa ni ndoto kutoka kwa shetani sababu itakuwa imetibua furaha yake maana furaha yake ni pale Simba itakapofungwa!Hii ndoto ikitimia bado utaamini ni ya Shetani ?
hizo ni ndoto za mchana punguzeni mahaba, Simba hana uwezo wa kumtoa Orlando Pirates huo ndio ukweli.Simba ikifuzu nusu fainali kuna watu wataumwa na kuzidiwa kabisa...😂😂
msimu huu tumewekeza 800 million Tshs, msimu ujao 2.5 billion Shs speed yetu ni ya kinyonga lkn tutafikia kwenye level ya kulamba asali na maziwa, Football haihitaji shortcut kama nyie mnavyodhani leo tunawaona AL AHLY wanafanya vizuri kwenye Mashindano ya vilabu Afrika sio kwa bahati isipokuwa wenzetu walishatumia rasili mali muda na fedha na zikawaletea mafanikio lazima tukubali huu ukweli, Mpira wa sasa hauna eti tuiombee timu yetu ishinde kama una timu dhaifu kama Simba sports hata uombewe na manabii na mitume huwezi kuvuka hii hatua ya robo fainali.Timu lako limewekeza shingapi?
Ungefatulia mfumo wa uonhozi wa Petroleos Atletico usingekuja kuandika hapa, hata hao Mamelod wapo chini ya tajiri mmoja Motsepe ni kama Azam Fc tu hapa ilivyo chini ya Bakharesa.Kama mtategemea hela za Mo andikeni maumivu!
Subiri mpira uchezwe.hizo ni ndoto za mchana punguzeni mahaba, Simba hana uwezo wa kumtoa Orlando Pirates huo ndio ukweli.
lazima tuukubali ukweli huna timu ya ushindani ya kupata matokeo away.Subiri mpira uchezwe.
Kama jinsi ambavyo Mamelod hawajawekeza kiasi cha kutolewa kwenye hatua ya robo fainali mara nne mfululizo?msimu huu tumewekeza 800 million Tshs, msimu ujao 2.5 billion Shs speed yetu ni ya kinyonga lkn tutafikia kwenye level ya kulamba asali na maziwa, Football haihitaji shortcut kama nyie mnavyodhani leo tunawaona AL AHLY wanafanya vizuri kwenye Mashindano ya vilabu Afrika sio kwa bahati isipokuwa wenzetu walishatumia rasili mali muda na fedha na zikawaletea mafanikio lazima tukubali huu ukweli, Mpira wa sasa hauna eti tuiombee timu yetu ishinde kama una timu dhaifu kama Simba sports hata uombewe na manabii na mitume huwezi kuvuka hii hatua ya robo fainali.
Leo ndio mwisho wa hizi kauli zenu.Nyie endeleeni na NBC, caf sio level yenu.
Mtakufa bure tu. Full time Orlando 0 Simba 0Leo ndio mwisho wa hizi kauli zenu.
Kiongozi Simba imeshatoka kabla hata ya mchezo kuanza, siisemei vibaya lakini tukiangalia tu uhalisia ni kwamba bado hawana timu ya kupata matokeo wakiwa away.Kama mtategemea hela za Mo andikeni maumivu!
Hizi kauli za mwisho wa Simba Sc tumeanza kuzisikia tangu zamani sana.Leo ndio mwisho wa hizi kauli zenu.
Hawa hawawezi kupata matokeo away, ila kuna team haiwezi kuyapata matokeo hata ikiwa nyumbani.Kiongozi Simba imeshatoka kabla hata ya mchezo kuanza, siisemei vibaya lakini tukiangalia tu uhalisia ni kwamba bado hawana timu ya kupata matokeo wakiwa away.
SASA LEO NDIO ZINAHITIMISHWA RASMI, MNALETA MAHABA PASIPO NA KUKUBALI UKWELI, INAPASWA KWANZA KUKUBALI UKWELI KWAMBA SIMBA NI TIMU DHAIFU MBELE YA ORLANDO KISHA NDIO MAHABA YAFUATIE.Hizi kauli za mwisho wa Simba Sc tumeanza kuzisikia tangu zamani sana.
Uzuri Jf hutunza kumbukumbu, tutarejea hizi comments zako.SASA LEO NDIO ZINAHITIMISHWA RASMI, MNALETA MAHABA PASIPO NA KUKUBALI UKWELI, INAPASWA KWANZA KUKUBALI UKWELI KWAMBA SIMBA NI TIMU DHAIFU MBELE YA ORLANDO KISHA NDIO MAHABA YAFUATIE.