Mwisho wa safari ya matumaini Simba SC

Leo Makolo hatoboi.. ni mwendo wa kupasuka tu
Tatizo lao ni kwamba wameweka mahaba mbele badala ya kukubali ukweli kwamba timu yao bado ni dhaifu haina uwezo wa kupata matokeo ikiwa away, lazima tukubali kwamba Simba Sports haikuandaliwa jinsi ya kucheza ugenini na kupata matokeo chanya huo ndio ukweli, tatizo mashabiki wengi wengi wa kibongo walianza kuzipenda timu kabla ya kuujuwa mpira.
 
Hivi ilitokeaje Mungu akayakusanya majitu yote yasiyo na akili akayarundika sehemu Moja na kuyafanya yakawa Mashabiki ya Yanga ?
 
Uzuri Jf hutunza kumbukumbu, tutarejea hizi comments zako.
Rafiki nasema tena na tena bado Simba Sc hana uwezo wa kumuondoa Orlando, Maendeleo ya mpira ni PROCESS na sio maneno kama mlivyo ninyi mashabiki wa Simba. Hivi goli moja linaweza kuwavusha kweli kwa timu yenu jinsi ilivyo dhaifu ugenini?
 
Hivi ilitokeaje Mungu akayakusanya majitu yote yasiyo na akili akayarundika sehemu Moja na kuyafanya yakawa Mashabiki ya Yanga ?
KIONGOZI SASA HATUA ULIYOFIKIA SIO YA KIUNGWANA, KAMA UMESHINDWA KUJIBU HOJA ZA WATU YAPASWA KUKAA KIMYA HAPA HATUPO KWA AJIRI YA KUDHALILISHANA ILA TUPO KWA AJIRI YA KUZUNGUMZA HALI HALISI. SIMBA SC HANA TIMU YA KUPATA MATOKEO AWAY NA HUO NDIO UKWELI.
 
Mkuu , ulichoandika ni takataka tupu . Nahisi umeandika ukiwa umebanwa kinyesi mndukuni.
 
Hii konokono ya kijani inapenda mnyama anavyofanya kimataifa! Mpaka kuiota simba inamaana unaiwaza sana!
Nb:IPO SIKU KILA MTU ATAISHABIKIA SIMBA SPORTS CLUB
 
Rafiki nasema tena na tena bado Simba Sc hana uwezo wa kumuondoa Orlando, Maendeleo ya mpira ni PROCESS na sio maneno kama mlivyo ninyi mashabiki wa Simba. Hivi goli moja linaweza kuwavusha kweli kwa timu yenu jinsi ilivyo dhaifu ugenini?
Orlando akitolewa mtakuja kusema Simba sc imeifunga team mbovu, maana nyinyi ni mabingwa wa kubadili maneno.
 
Nitahamia kwetu South Sudan Simba akimfunga Orlando. Ninaongea kwa asilimia 100 SSC hajawahi kuandaliwa kwa michuano hii na leo ni OUT STRAIGHTWAY
 
Mkuu , Kwani wewe huwa unaandika ya kiungwana tu siku zote? Kwahiyo hizo takataka wewe unazifurahia?
 
 
Zamani ilikuwa wazee ndio wanakuwa wachawi ila siku hizi mpaka vijana wadogo wanakuwa wachawi.
 
Hizi wiki mbili zitakuwa chungu sana kwa simba. Jana wadogo zao Namungo tumewatandika bakora mbili! Leo mchana Yanga Princess wamewatandika dada zao wa simba queens!

Jioni wakubwa nao wanatandikwa na Orlando Pirates! Jumamosi ijayo wanatandikwa tena na akina Mayele! Yaani ni vipigo tu mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…