Mwisho wa safari ya matumaini Simba SC

Hali ni mbaya hapa SAUZI

NIPO UWANJANI . Next 10 min simba anakuwa ameshafungwa

Hali ni mbaya maana simba anashambuliwa na sioni plan b ya kocha

Ni suala la Muda
 
Hali ni mbaya hapa SAUZI

NIPO UWANJANI . Next 10 min simba anakuwa ameshafungwa

Hali ni mbaya maana simba anashambuliwa na sioni plan b ya kocha

Ni suala la Muda
Usitupe pressure mechi iko live
 
Hali ni mbaya hapa SAUZI

NIPO UWANJANI . Next 10 min simba anakuwa ameshafungwa

Hali ni mbaya maana simba anashambuliwa na sioni plan b ya kocha

Ni suala la Muda
Nakuona unavyohangaika kama kuku anayetaka kutaga.
 
Hali ni mbaya hapa SAUZI

NIPO UWANJANI . Next 10 min simba anakuwa ameshafungwa

Hali ni mbaya maana simba anashambuliwa na sioni plan b ya kocha

Ni suala la Muda
Wewe mbwiga na hater wajisikiaje huko uliko?

Yaani umekazana kuomba tufungwe?
 
Kitaeleweka wanaingia kwenye semi au kwenye trekta 😁
 
Hali ni mbaya hapa SAUZI

NIPO UWANJANI . Next 10 min simba anakuwa ameshafungwa

Hali ni mbaya maana simba anashambuliwa na sioni plan b ya kocha

Ni suala la Muda
Hongera mkuu kwa ushindi mlioupata.
 
MAKOLO WAMEKIMBIA THREAD[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera mkuu kwa ushindi mlioupata.

Niliwaambia. Hali ni mbaya. Hata hivyo manula amewasaidia sana. Tukiongea kitu ni kwamba tunajua. SSC haijawahi kuandaliwa kwa hizi knock out . Group stage ndio inaibeba simba. Kila siku mtabaki Dah bado kidogo tu tuingie nusu fainal na hamuingii. Sababu kubwa ni timu haipati mafunzo ya kucheza ugenini. Tuendelee kuamini kuwa haikuwa bahati,.
Ili SSC ifanye vyema katika hizi michezo. Inahitaji kufundishwa na kujengewa uwezo namna ya kucheza ugenini.
Baada ya kipindi cha kwanza. Niligundua Orlando imzkuwa overrated. Kocha angekuwa mzuri kwa technic , ORLANDO ilikuwa ni OUT.
Safu butu ya ushambuliaji ime icost SSC .

Haya sasa mje TZ kula maarage
 
Acha kujifanya mjuaji wewe, penalti haina mwenyewe.

Hizo saba ulizosema mbona hatujaziona ?
 
Simba tuliwaambia jana hamna uwezo wa kupata matokeo away, mkawa mnaendekeza mapenzi na timu yenu badala ya uhalisia.
 
Simba tuliwaambia jana hamna uwezo wa kupata matokeo away, mkawa mnaendekeza mapenzi na timu yenu badala ya uhalisia.
Zile penalty zimekufanya ujione na wewe ni mchambuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…