jamani naomba tujadiliane hili, ndoa nyingi za kiislam unaweza kupata mchumba asubuhi na kuoa jioni, lakini kwa wakiristo is complicated. Je kwa experiance yako, ni zipi zinaongoza kuvunjika, za kiislam au kikiristo. welcome.
jamani naomba tujadiliane hili, ndoa nyingi za kiislam unaweza kupata mchumba asubuhi na kuoa jioni, lakini kwa wakiristo is complicated. Je kwa experiance yako, ni zipi zinaongoza kuvunjika, za kiislam au kikiristo. Welcome.