This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Ni stahiki zake za mkataba.Si mnaendelea kumlipa mshahara mpaka sasa kwenye hiyo likizo yake, huku mkijua fika baada ya hapo ataenda kwa wapinzani wenu wa jadi Yanga! Au?
Morrison alitaka barua ya kuachwa huru, LAKINI hakuomba kukaa mezani kuujadili mkataba wake.
Simba Si wajinga.Utampa releasing letter Halafu atakushitaki umlipe KWA kuvunja mkataba. Kwanini hakuomba kukaa mezani kuujadili Hilo?
Au mnadhani Simba hawajui Sheria. Ule ulikuwa mtego.
Mbona Ni Jambo dogo tu kulielewa?
Ungekuwa Wewe Ni CEO wa Simba kwahiyo ungekaa na kuandika barua bila kukaa mezani na kuujadili mkataba? Na hapa elewa, so Simba wamwite Bali yy ndiye Angeomba kukaa mezani.