Mwisho wa ubaya ni aibu

Sijui kwann aseee
 
Poleni wafanya biashara wote kwa hasara mtakayoipata hii ndio bongo
 
Kwa sababu wabongo wengi tumerithi roho mbaya za kichawi chawi, wivu na husuda.
 
Kweli hata mm sijui ndugu lakini ndio tulivo..nadhani sisi black shida inaanzia moyoni. Tupo hivo au ndio vile tena adui muombee njaa. [emoji16]
 
Jide kaonesha utoto. mkubwa angekaa kimya ...tu..kuonesha ukokomavu wa Akili .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…