WHat....Moja kubwa imeangushwa na moja ndogo
Im all my bended kness if im mistakenWHat....
Damn u no 1 compettitor Agaist Diamond.!!
Have a submission first.
Sijui kwann aseeeWabongo tuna matatizo.
Ndiyo maana tukiachana na wapenzi wetu hua tunatamani tusikie habari mbaya tu. Mara usikie Castr kafulia kafukuzwa alipopanga, au usikie "Demu wako kakonda mbaya"
Ila ukisikia "Aziza kafungua bakery yuko mcharo kinyama" utavimbisha mashavu kama unapuliza moto na chakula huli siku hiyo.
Tuache roho mbaya.
Kwa sababu wabongo wengi tumerithi roho mbaya za kichawi chawi, wivu na husuda.Wabongo tuna matatizo.
Ndiyo maana tukiachana na wapenzi wetu hua tunatamani tusikie habari mbaya tu. Mara usikie Castr kafulia kafukuzwa alipopanga, au usikie "Demu wako kakonda mbaya"
Ila ukisikia "Aziza kafungua bakery yuko mcharo kinyama" utavimbisha mashavu kama unapuliza moto na chakula huli siku hiyo.
Tuache roho mbaya.
Kweli hata mm sijui ndugu lakini ndio tulivo..nadhani sisi black shida inaanzia moyoni. Tupo hivo au ndio vile tena adui muombee njaa. [emoji16]Wabongo tuna matatizo.
Ndiyo maana tukiachana na wapenzi wetu hua tunatamani tusikie habari mbaya tu. Mara usikie Castr kafulia kafukuzwa alipopanga, au usikie "Demu wako kakonda mbaya"
Ila ukisikia "Aziza kafungua bakery yuko mcharo kinyama" utavimbisha mashavu kama unapuliza moto na chakula huli siku hiyo.
Tuache roho mbaya.
Kama nilivyo sema dada Jide awapa dongo ule upande wa piliView attachment 944905
Mkuu na yeye ana moyoKaazi kweli kweli ..ila Jide ange nyamaza tu" kuonyesha ukomavu wa akili
Ana haki ya kutoa maoni hii nchi huruJide kaonesha utoto. mkubwa angekaa kimya ...tu..kuonesha ukokomavu wa Akili .
Karma aidanganyiKama nilivyo sema dada Jide awapa dongo ule upande wa piliView attachment 944905
Utoto ...Unamsumbua.Ana haki ya kutoa maoni hii nchi huru
Maoni yake yamekugusa bila shakaUtoto ...Unamsumbua.
Ange shangilia kimya kimya tu " ndivyo watu wakomavu na ma-intelligence wanavyo fanyagaMkuu na yeye ana moyo
Mkuu furaha kama chura aifichikiAnge shangilia kimya kimya tu " ndivyo watu wakomavu na ma-intelligence wanavyo fanyaga
Alihudhuria January Makamba tu na wafuasi wa Ruge[emoji3][emoji3]Nakumbuka! Ile ya Fa ikabaki vitu vitupu