Mwishowe Wakenya wanyoosha mikono

Magonjwa Mtambuka

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
32,246
Reaction score
31,176
Mwishowe hawa jamaa wameamua kunyoosha mikono na kuamua kufungua kila kitu ingawa virusi vya corona vinaendelea kuwagonga. Eti sasa ndio wanaanza kusema huu ugonjwa upo kwa muda mrefu ujao, ha ha ha. Tuliwaambia wakajidai kubisha na kizungu chao cha kuombea maji.

 
Magonjwa Mtambuka,

Tukiacha ushabiki wa Tz VS Ke, ukweli Kenya wamechemka sana kwa 'lockdown' yao ya kuwafungia watu usiku (utadhani virus vinaambukiza usiku tu) lakini mchana wanawaacha wakichangamana kama kawaida. Ni lockdown ya kipuuzi sana, wasione aibu, wakubali tu kwamba wamechemka na wajirekebishe ili maisha yasonge.
 
Kuna kavideo kutoka KTN Kenya nilikaona ss izo commeents za ndugu zetu ni wazi wamechoka na lockdown. Na wengi walikuwa wanalalamika kunusu nchi yao kupewa pesa na WHO kuhusu kutangaza ma covid case kila kukicha ss wana lia lia maana mpaka EU wamepiga BAN Kenyans to enter Europe.

 
Hiyo issue ya corona tu, Kenya wamechemka mambo mengi kwa kuwaachia wazungu wafikirie badala yao.
 
Haaaaaa this [emoji117][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205] monkey sasa ni zamu yetu kusubiri wakenya wakufe kama nzige mabarabarani tuliwaambia wakabusha

Send by APOLO 1
Na marufuku kuja kwetu wengi wanakuja kufanya kazi holelini sasa wabaki huko huko na korona yao
 
Magonjwa Mtambuka,

Wakenya wanapenda sana kiingereza, waliposikia lockdown wenyewe wakalipenda neno hawakujua lina madhara kwao, milofa sana Kenya
Wenyewe mida ya mchana mitaani wanajidai na kujinasibu huku wakibonga kingereza " We hv lockdown in our country [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
mbona naona uzi waswahili wamejaza povuu dah!!! aiseee....😂 kenyatta ongeza lockdown! wazalendo tuko nyuma yakoo!
 
mbona naona uzi waswahili wamejaza povuu dah!!! aiseee....😂 kenyatta ongeza lockdown! wazalendo tuko nyuma yakoo!
Haha! Acha kujifariji, kijana... Halafu jifunze kuandika vizuri, hasa matumizi ya HERUFI KUBWA unapoanza sentensi au kutaja JINA la mtu...

Your browser is not able to display this video.
 
Kenya hata wakipigwa na Corona kiasi gani, hata kuwe na wagonjwa 2mil bado hatuwezi kufikia maendeleo yao ya ki uchumi
Hivyo eee kumbe Wakenya wanamaendeo makubwa eee!! Nahisi itakua maneno ya mtu anaekula kwao hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…