Mwita Waitara aagiza mwenyekiti wa CHADEMA aliyeuza kifisadi uwanja wa shule huko Tarime kukamatwa mara moja

Mwita Waitara aagiza mwenyekiti wa CHADEMA aliyeuza kifisadi uwanja wa shule huko Tarime kukamatwa mara moja

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naibu waziri Mwita Waitara amewaagiza Polisi kumkamata mara moja Mwenyekiti wa serikali ya mtaa kupitia Chadema aliyeuza uwanja wa shule kifisadi na kinyemela.

Waitara amesema mwenyekiti huyo tapeli wa CHADEMA ameitia aibu serikali ya awamu ya tano kwa kitendo hicho cha kiutapeli.

Naibu waziri Mwita ambaye alishatangaza kuachana na jimbo la ukonga jijini Dsm na kuhamia Tarime vijijini kwenda kumfurusha John Heche wa Chadema yuko wilayani Tarime kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Source : Star tv habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi kumbe Chadema wana mwenyekiti wa mtaa? Ngoja tuone ila na yeye aseme kwanini aliuza ubunge na kukimbilia CCM.
 
Hapa tunazungumzia biashara ya uwanja wa shule siyo ubunge bwashee!

Naibu waziri Mwita ambaye alishatangaza kuachana na jimbo la ukonga jijini Dsm na kuhamia Tarime vijijini kwenda kumfurusha John Heche wa Chadema yuko wilayani Tarime kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Source : Star tv habari

Maendeleo hayana vyama!

Kwenye hii para ya mwisho umeongelea Biashara gani Arawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nainu waziri Mwita Waitara amewaagiza polisi kumkamata mara moja mwenyekiti wa serikali ya mtaa kupitia Chadema aliyeuza uwanja wa shule kifisadi na kinyemela.

Waitara amesema mwenyekiti huyo tapeli wa Chadema ameitia aibu serikali ya awamu ya tano kwa kitendo hicho cha kiutapeli.

Naibu waziri Mwita ambaye alishatangaza kuachana na jimbo la ukonga jijini Dsm na kuhamia Tarime vijijini kwenda kumfurusha John Heche wa Chadema yuko wilayani Tarime kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Source : Star tv habari

Maendeleo hayana vyama!
Naona taarifa hii umeiwasirisha KISHABIKI KWELI Bwasheeee!
 
Back
Top Bottom