Uchaguzi 2020 Mwita Waitara achukua fomu kuomba ridhaa CCM kuwania Ubunge Tarime Vijijini

Uchaguzi 2020 Mwita Waitara achukua fomu kuomba ridhaa CCM kuwania Ubunge Tarime Vijijini

Kubadili jimbo ni kudhihirisha kuwa ulishindwa kutekeleza majukumu yako vile ipasavyo...."Adui mkubwa katika vita si yule mpinzani bali ni yule mhaini/msaliti"
Utakuwa unamsema mnyika alivyobadili jimbo toka ubungo kwenda kibamba na mwaka huu kakimbia kabisa
 
Hakuna wanaCCM wajinga wa kutosha kuweza kumpitisha Mwita Waitara huko Tarime. Zama za siasa kwake ndio zimefikia tamati 2020. Hataweza tena kufanya siasa iwe ndani ya CCM au Upinzani.
 
Kwa nini asingebaki ukonga maana nilisikia ksuli ya mwenezi wa CCM kuwa majimbo ya waliohamia kutoka upinzani yasiguswe
CCM imeshasema hawawezi kurudia mara mbili kuyabeba matakataka waliyoyanunua kutokea upinzani. Waitara ilishabebwa mara ya kwanza, sasa ni zamu yake kujibeba na kukibeba chama chake.
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara amechukua fomu kuomba Chama Cha Mapinduzi- CCM kimpitishe kuwania Ubunge Tarime Vijijini Mkoa wa Mara. Mwita Waitara 2015 alikuwa Mbunge wa Ukonga kupitia CHADEMA kabla ya kuhamia CCM na kutetea kiti chake mpaka anamaliza muda wake.

Mbona ni kama amekataliwa tayari? Hahaha, kazi ipo.
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara amechukua fomu kuomba Chama Cha Mapinduzi- CCM kimpitishe kuwania Ubunge Tarime Vijijini Mkoa wa Mara. Mwita Waitara 2015 alikuwa Mbunge wa Ukonga kupitia CHADEMA kabla ya kuhamia CCM na kutetea kiti chake mpaka anamaliza muda wake.

Yeye si wa ukonga? Madhambi yake yatamtafna
 
Mwamba [emoji16]
EdXskdPXkAAMZls.jpeg
 
Huyu sidhani kama atapita.Alikimbia Ukonga maana alijua mbele ya wajumbe hawezi toboa.
 
Savimbi ameacha jimbo mjini na kukimbilia jimbo vijijini.
Ikitokea amepita kura za maoni CCM, nitaomba Mod wa JF wanipige ban ya milele.
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara amechukua fomu kuomba Chama Cha Mapinduzi- CCM kimpitishe kuwania Ubunge Tarime Vijijini Mkoa wa Mara. Mwita Waitara 2015 alikuwa Mbunge wa Ukonga kupitia CHADEMA kabla ya kuhamia CCM na kutetea kiti chake mpaka anamaliza muda wake.

huyu jamaa na M-TISS katambi hovyo kabisa,
 
Back
Top Bottom