Mwita Waitara ana kikao na viongozi wa kata kijijini Kangariani muda huu

Mwita Waitara ana kikao na viongozi wa kata kijijini Kangariani muda huu

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Muda huu ninaoandika taarifa hii, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikabe Waitara akishirikiana na Mwenyekiti wa CCM Tarime, Ndugu Daudi Marwa Ngicho wamewaita viongozi wa kata ambao ni Mwenyekiti, Katibu na Mwenezi na wanafanya kikao kijiji cha Kangariani, ambako ndiko nyumbani kwao na Waitara.

Waiatara amekuwa akikiuka waziwazi makatazo yote yanayofanywa na Chama kwa kusema yeye anajiamini sababu ametumwa na Mh. Rais Magufuli kugombea.

Jambo hili linaondoa USAWA wa ushindani na watia nia wengine ambao wameamua kuheshimu maagizo na taratibu za Chama.

Viongozi walioitwa wanatoka kata zote za Bwiregi na baadhi ya kata walizochagua.

Tunaomba uongozi wa juu ufuatilie mambo anayofanya Waitara Tarime Vijijini, na matukio yote nitayaweka hapa.

Nuni, ilitara kimura.

Venance Omona wa Marwa
 
Hahaha nilidhani kaiba kura, kumbe anafanya mkutano?!

Yeye ni waziri ana visingizio vingi, muacheni atumie cheo yatamkuta yaliyomkuta Jaji Warioba bunda, labda kama zama hizi sheria haikatazi.

Ukonga kaogopa kabisa au nia yake ni kupambana na Heche?
 
Muda huu ninaoandika taarifa hii, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara akishirikiana na Mwenyekiti wa CCM Tarime, Ndugu Daudi Marwa Ngicho wamewaita viongozi wa kata ambao ni Mwenyekiti, Katibu na Mwenezi na wanafanya kikao kijiji cha Kangariani, ambako ndiko nyumbani kwao na Waitara.

Waiatara amekuwa akikiuka waziwazi makatazo yote yanayofanywa na Chama kwa kusema yeye anajiamini sababu ametumwa na Mh. Rais Magufuli kugombea.

Jambo hili linaondoa USAWA wa ushindani na watia nia wengine ambao wameamua kuheshimu maagizo na taratibu za Chama.

Viongozi walioitwa wanatoka kata zote za Bwiregi na baadhi ya kata walizochagua.

Tunaomba uongozi wa juu ufuatilie mambo anayofanya Waitara Tarime Vijijini, na matukio yote nitayaweka hapa.

Nuni, ilitara kimura.

Venance Omona wa Marwa
Wameshapewa ruhusa ya kujipitisha na kuonana na wapiga kura wewe unaogopa nini? Chadema kukosa hata jimbo moja huko tarime?
 
Hahaha nilidhani kaiba kura, kumbe anafanya mkutano?!

Yeye ni waziri ana visingizio vingi, muacheni atumie cheo yatamkuta yaliyomkuta Jaji Warioba bunda, labda kama zama hizi sheria haikatazi.

Ukonga kaogopa kabisa au nia yake ni kupambana na Heche?
Ataweza kushindana na heche kweli Huyo mrevi????yaani atulie kabs kule heche hamtoi kijingajinga..
 
Muda huu ninaoandika taarifa hii, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikabe Waitara akishirikiana na Mwenyekiti wa CCM Tarime, Ndugu Daudi Marwa Ngicho wamewaita viongozi wa kata ambao ni Mwenyekiti, Katibu na Mwenezi na wanafanya kikao kijiji cha Kangariani, ambako ndiko nyumbani kwao na Waitara.

Waiatara amekuwa akikiuka waziwazi makatazo yote yanayofanywa na Chama kwa kusema yeye anajiamini sababu ametumwa na Mh. Rais Magufuli kugombea.

Jambo hili linaondoa USAWA wa ushindani na watia nia wengine ambao wameamua kuheshimu maagizo na taratibu za Chama.

Viongozi walioitwa wanatoka kata zote za Bwiregi na baadhi ya kata walizochagua.

Tunaomba uongozi wa juu ufuatilie mambo anayofanya Waitara Tarime Vijijini, na matukio yote nitayaweka hapa.

Nuni, ilitara kimura.

Venance Omona wa Marwa

Mpige picha na za video utume kuna namba zilitolewa na katibu mwenezi kisha usubili majibu, vinginevyo utakuwa muongo tu.
 
Wameshapewa ruhusa ya kujipitisha na kuonana na wapiga kura wewe unaogopa nini? Chadema kukosa hata jimbo moja huko tarime?

Ukiwa na tope kichwani unaweza kushindwa kutambua hata mambo madogo tu.

Hapa Chadema inaingiaje? Hujatambua kua anayelalamika ni mwanaCCM na anaona uwanja hauko sawa kwa washindani wengine?? Ref: .......”wengine walioamua kufuata taratibu za chama”.....
 
Ukiwa na tope kichwani unaweza kushindwa kutambua hata mambo madogo tu.

Hapa Chadema inaingiaje? Hujatambua kua anayelalamika ni mwanaCCM na anaona uwanja hauko sawa kwa washindani wengine?? Ref: .......”wengine walioamua kufuata taratibu za chama”.....
Nimeuliza swali nijibiwe. Anaweza akawa mwanaCcm lakini akawa anafanya hujuma ili Chadema ipate jimbo.
 
Ukiwa na tope kichwani unaweza kushindwa kutambua hata mambo madogo tu.

Hapa Chadema inaingiaje? Hujatambua kua anayelalamika ni mwanaCCM na anaona uwanja hauko sawa kwa washindani wengine?? Ref: .......”wengine walioamua kufuata taratibu za chama”.....
Umemjibu vyema
 
wakurya hawataki watu wasio na msimamo kama wadada
 
Waiatara amekuwa akikiuka waziwazi makatazo yote yanayofanywa na Chama kwa kusema yeye anajiamini sababu ametumwa na Mh. Rais Magufuli kugombea.
Huyo ni naibu waziri Tamisemi,kuongea na viongozi wa kijiji sio dhambi
 
Muda huu ninaoandika taarifa hii, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikabe Waitara akishirikiana na Mwenyekiti wa CCM Tarime, Ndugu Daudi Marwa Ngicho wamewaita viongozi wa kata ambao ni Mwenyekiti, Katibu na Mwenezi na wanafanya kikao kijiji cha Kangariani, ambako ndiko nyumbani kwao na Waitara.

Waiatara amekuwa akikiuka waziwazi makatazo yote yanayofanywa na Chama kwa kusema yeye anajiamini sababu ametumwa na Mh. Rais Magufuli kugombea.

Jambo hili linaondoa USAWA wa ushindani na watia nia wengine ambao wameamua kuheshimu maagizo na taratibu za Chama.

Viongozi walioitwa wanatoka kata zote za Bwiregi na baadhi ya kata walizochagua.

Tunaomba uongozi wa juu ufuatilie mambo anayofanya Waitara Tarime Vijijini, na matukio yote nitayaweka hapa.

Nuni, ilitara kimura.

Venance Omona wa Marwa
So what?,acha uzwazwa
 
Back
Top Bottom