Mwita Waitara ana kikao na viongozi wa kata kijijini Kangariani muda huu

Mwita Waitara ana kikao na viongozi wa kata kijijini Kangariani muda huu

Hahaha nilidhani kaiba kura, kumbe anafanya mkutano?!

Yeye ni waziri ana visingizio vingi, muacheni atumie cheo yatamkuta yaliyomkuta Jaji Warioba bunda, labda kama zama hizi sheria haikatazi.

Ukonga kaogopa kabisa au nia yake ni kupambana na Heche?
Ametumwa kumwondoa Mwiba Heche.
 
Back
Top Bottom