Mwita Waitara: Apigilia msumari umeya Ubungo, asema Boniface Jacob siyo Meya tena

Meya wa ubungo alikuwa anaamimi kujifanya baunsa kwenye vikao Ndio kutwmfanya awe mwanasiasa bora

Ajue hatapata ubunge wala udiwani

Mbowe ampe kazi ya kumlinda
 
Kulisikiliza jamaa lilevi sura utafikiri limeumwa na nyuki ni kupoteza muda
 
Yaani kuna watu walizaliwa kabisa ili kulitumbukiza Taifa kwenye visasi na chuki. Hawakuletwa kwa jambo lolote lingine. Sijui ndani ya mioyo yao wanawaza nini sijui...
Nikimkumbuka Steve wa hasira namuonea huruma, haamini Leo na yeye haitwi ikulu kunywa juice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…