johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kule hayuko Lowassa aliyembeba Ukonga!Amesusa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule hayuko Lowassa aliyembeba Ukonga!Amesusa?
Mapema hivi mmeshamtupa?Kule hayuko Lowassa aliyembeba Ukonga!
Kwani na wewe si ni kada mtiifu tu kwa nini usitie nia?
Nimeshindwa kukuelewa mkuu, ufafanuzi zaidiNaibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara ameuliza " nafasi zenyewe ni chache ubunge wa nini?"
East Africa Radio
My take; CCM ni chama kikubwa nadhani Waitara alisahau.
Maendeleo hayana vyama!
Huyo mjanjaMbowe amekula vichwa Sana kwenye minada ya wabunge
Nilidhani mnamsingizia, kumbe ndo kazi kuzalisha wasiokuwa wake zake!Unatarajia kumzalia mtoto gani?