Pre GE2025 Mwita Waitara: Sina mpango wa kuachia Jimbo, ila naweza nisirudi Bungeni serikali isipotatua changamoto Tarime Vijijini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amesema kuwa hatoweza kurejea Bungeni iwapo Serikali haitachukua hatua za kutatua changamoto za migogoro ya wakulima na wafugaji, miradi ya maji isiyokamilika, na hali ya miundombinu ya barabara jimboni kwake. Hata hivyo, Waitara amesisitiza kuwa bado ana nia ya kurejea Bungeni na hana mpango wa kuachia jimbo lake.
 
Weee hajalia wakati anaongea?? Jamaa linapenda kulia kama toto
 
Kwani kuwa mbunge kunategemea kura za wananchi au ni maagizo toka juu?
 
Namshauri arudi nyumbani aliko toroka,akimwagwa kotekote,bila shaka nyumbani itabidi iwe porini sasa kama ilivyo kwa mchungaji mtoro pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…