Mwite msichana yeyote humu JamiiForums akiitika tu basi nenda kamalizane naye PM

Mwite msichana yeyote humu JamiiForums akiitika tu basi nenda kamalizane naye PM

Nakuja tutafakari wote
Hahahaaaa. Hadi sauti imekutambulisha lol. Kweli sauti ya Hajar ni kali mnoo aisee.

Wacha nijipe muda sababu nina ndugu wengi mpaka basi ila nikishindwa kukutambua ntakufuata huko chumbani tucheke sababu sio kwa kuniiga huko.

Ahsante sana ndugu. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Njoo pm nina mzigo wako wa nguvu Hijar
 
Back
Top Bottom