Hapana shem sio hivyo bhn, mimi sijamuita ila nimemuuliza tu kama kaitwa...Uende nae pm kufanya nini shem?
Abee ZeroWeeee Shuuuuuuuuuu
Mzigua90 [emoji3]Kaka habari yako
HahahaNajua basi mm naingia tu mmu nawakuta wote kwenye thread moja wako na ban
Akhuuu sitaki[emoji23] [emoji23]
Unataka!
HaelewiC ndio hapo hajui kama mwembe wa uan hautunguliwi?
Nini kaka. Hutaki mashemeji?Mmmh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio yeye kabisa ni watu wawili tofautiHahaha, ila kusema ukweli zile mambo zinaogopesha... Au zile ndiyo yeye mwenyewe [emoji23] [emoji23]
Sawa kaka. Uko na mimiKumbe nilikua sahh enhee? Acha nikatupe makombora ntakupa mrejesho
Inabidi uje sasa, si unajua nyumba mwanamke.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona wachafu vile
AbeeeeWeee mzigua90
Nani kapata ban tena?Najua basi mm naingia tu mmu nawakuta wote kwenye thread moja wako na ban
Namshkuru Mungu kwakweli siwezi mkimbia mwanaume sababu ya shida kwenye maisha kuna kupata na kukosa youngBasi wewe mwanamke wa kipekee.
Ni wewe ndioMie huyo?
hahahaNaogopa aki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akii zitasimama kwa mdaTutafunga server za jf bure
Idadi yao ishanichanganya tuanze kuhesabu upyaNini kaka. Hutaki mashemeji?
Mmmmh shemu. Nilikuahidi nitamlindia ndugu yangu kumbukaHapana shem sio hivyo bhn, mimi sijamuita ila nimemuuliza tu kama kaitwa...
Alafu wewe aya tu [emoji2]