Mwite msichana yeyote humu JamiiForums akiitika tu basi nenda kamalizane naye PM

Hhhahha ndio yale ya T jana katuambia ilitokea love connect huko mtu anatafuta mchumba wamepeaa no kumbe ni ndugu wapo kwenye group la ukoo WhatsApp na uchumba uliishia hapo hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hhhahha ndio yale ya T jana katuambia ilitokea love connect huko mtu anatafuta mchumba wamepeaa no kumbe ni ndugu wapo kwenye group la ukoo WhatsApp na uchumba uliishia hapo hapo
Hahaha
Na ndugu huwa damu zinavutana ujue, sasa hapo undungu ndo ulifanya wapendane!!
 
Hahahaaa. Labda na kuona hata hujaanzishiwa kauzi ka kukusifiwa sifiwa hata kama ni kiuongo uongo. [emoji85].

CC. Davet
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ukweli mchungu kabisa, ngoja nipambane na hali yangu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…