Mwite msichana yeyote humu JamiiForums akiitika tu basi nenda kamalizane naye PM

Mwite msichana yeyote humu JamiiForums akiitika tu basi nenda kamalizane naye PM

Hijar, huwa ninakuheshimu na kukupenda thus why umebadili vazi lkn bado ninakutambua kwa sauti na mwandiko, nami nimebadili shati lkn najua utanitambua kwa sauti na mwandiko.
Ninakupenda toka rohoni dadake
Hahahaaaa. Hadi sauti imekutambulisha lol. Kweli sauti ya Hajar ni kali mnoo aisee.

Wacha nijipe muda sababu nina ndugu wengi mpaka basi ila nikishindwa kukutambua ntakufuata huko chumbani tucheke sababu sio kwa kuniiga huko.

Ahsante sana ndugu. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa. Sio kwa jicheko hilo rafiki wa Hajar.

Cheka tu huku mwenzio nimepaliwa.
 
Back
Top Bottom