Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
RA naye atafika lini?
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Mwizi hana uzuri wowote...Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
Inaonekana hufahamu rushwa ni nini na jinsi inavyoweza kuathiri uchumi na maisha ya jamii husika. Au umeamua kujifanya hujui ili kuonesha ni jinsi gani ulivyo wa ajabu.
Then, unaonesha wewe huathiriki na wizi unaofanywa na RA et al kwa sababu tu hauko Tanzania au si Mtanzania. And you imply that you are not part of the solution to corruption problem in Tanzania. You don't give a shit about Tanzania. Do you think Tanzania needs you? Why?
I doubt about your conceptual understanding on governance, and more specifically about the concept of state capture. Rostam Aziz is an agent mercenary of state capture. It is not business but your state has already been captured!
There is nothing to cherish or good practice to learn from Rostam Aziz!
Penda nchi yako ndugu. Chukia mafisadi ndugu.
Zungu Pule,
Kwa suala la rushwa huwezi kumpata RA, by the way he is smart, angekuwa mtu wa kuingia kichwa kichwa mungeshampeleka mahakamani,,, hamumpeleki kwa sababu gani?
Still admire the guy,,, anafanya biashara zenye akili! mengine ni uzembe wenu na serikali yenu... maana munapenda siasa sana.
Pamoja na post zote... Lazima nisema RA has been amoung the most successfully and intelligent businessman in Tanzania.
Tungekuwa na wakina RA wengi Tanzania uchumi wa nchi ukiuwa imara na uwekezaji wetu kwenye nchi za Maziwa makuu na SADC ungekuwa mkubwa sana.
Angalia biashara anazozifanya, ndio zile wabongo waoga na wanadhani zinatakiwa kufanywa na makampuni ya Ulaya tu.
Issue ya Kasoro alizonazo kama anazo zinatokana na mfumo wenu wa kipumbavu... ni kazi kwenu kutumia Bunge kuziba mianya.
Nevertheless,,, tafuteni wanasiasa au watumishi wauma wanaomfaidisha huyo RA na sio RA.
Asubuhi njema, mchana mwema jioni njema na usiku mwema kutegemea ulipo
mtu anapomsifia mwizi kwa kuiba vizuri na kuwa katika wizi huo ametumia "akili sana" kiasi kwamba hadi hivi sasa ameshindwa kukamatwa basi kuna tatizo. Kuna tatizo zaidi pale anayelaumiwa kwa kuibiwa ni mwenye nyumba ati kwanini hakutumia makomeo mawili na kuweka nondo madirisha; Na inasikitisha zaidi pale ambapo mwizi huyo anahusudiwa kwa kuweza kuiba na inaoombewa kuwa tungekuwa na wezi wengi wa namna hiyo (wasioweza kukamatwa)!
Huku ni kupindua maana nzima ya haki na kuvuna kile mtu amepanda.
Kwa kumhusudu mwizi, mwizi anakuwa na mtetezi wa wizi wake! Na yule anayemtetea mwizi......
Mbavu sina mkuu!!! hahahahahaha... today is May Day and tomorrow is weekend.