Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,933
- 988
Mwambieni Mengi ataje wale wengine watano alafu tutamuunga mkono kweli kwa sababu watamtesa sana.
Lipumba angetuambia Mengi alichokosea ni nini, kuwataja hawa jamaa au kumsaidia Mkwere katika hii vita, kama Mengi anatafuta Umaarufu kwa Mkwere basi Nae Lipumba anatafuta umaarufu kupitia Mengi
sijaona kosa la LIPUMBA mimi..from the best of my knowledge, a mistake is taken into record if committed by someone who is CAPABLE OF DOING THE SAME....nafuatilia siasa za BONGO tangu miaka ya mwanzo ya mfumo wa vyama vingi..ajitokeze mtu anikumbushe LIPUMBA kaongeza nini cha maana kwa WATANZANIA,na pia kwa USOMI wake kama 'MCHUMI ALIYEBOBEA' ametoa mchango gani hata wa kuamsha UMMA juu ya matatizo MAKUBWA yanayoendelea katika nchi yetu..KUNA MTU AMEFIKA NYUMBANI (kijijini) ANAPOTOKA LIPUMBA? haihitaji ushahidi wa ziada kwa nyinyi wadau kufahamu kwamba LIPUMBA is just another LI-PUMBA in TANZANIA,hana mchango wowote wa ziada,ni aina ya wanasiasa uchwara walioingia kwenye siasa UKUBWANI kwa SHAUKU na si MIKAKATI..he is a good chap in HATE-POLITICS (AM TEMPTED TO LABEL HIM A RELIGIOUS FUNDAMENTALIST).USHAURI WANGU KWAKE NI RAHISI SANA,2010 ATULIE, AJARIBU KUGOMBEA UBUNGE NYUMBANI KWAKE, AKAPAMBANE BUNGENI SO THAT WE MAY PROVE IF AT ALL HE IS WORTH ANYTHING...ndugu zangu CUF wanatakiwa wawe makini na huyu mheshimiwa, otherwise their diminishing chances of reviving dwindling popularity in the MAINLAND shall never be realized...
KWA MAMA YANGU SOPHIA SIMBA.....
"POLITICS IS A DIRTY, VERY DIRTY GAME...FROM WHAT I CAN SEE IN YOU, YOUR NOT ENTITLED TO EAT EVEN WITH THEIR HOUSEGIRL...namaanisha, if at all wanakutumia, amini kwamba hawana COMMON GOAL na wewe, utadondoshwa njiani"
MY HONOURABLE PRESIDENT:
"LET ME TELL YOU ONE THING; EVEN THE LAYMEN, OR TERM THEM SOLID MAJORITY, KNOW WHO IS WITH YOU AND WHO'S NOT WITH YOU IN YOUR VERY OWN CABINET...2010 SIO MBALI, UKIMYA NA UPOLE WAKO UNATUTIA MASHAKA MAZITO SANA WHEN CONSIDERING THE FATE OF OUR BELOVED MOTHERLAND...HIVI TUPO PAMOJA KWELI!??..."
am out....
mimi nafikiri kunawatu kama Lipumba inabidi wakae kimya maana watanzania tumekuwa tukiwatengemea kwa miaka mingi sana wabadirishe nchi, walete maendeleo, usawa, wapungunze rushwa lakini they have done nothing, for almost s10 years!!!
nafikiri mkae pembeni na muwapishe watu ambao wanauchu na nchi at least babu Mrema anasimamaga na kusema mauvu ya hawa CCM sasa wewe Babu Limpumba na usomi wako wote what have you challenge in Tanzania kama sio kuleta udini na ubaguzi?
Watazania sio wale wa miaka ya 1980's-1990's ambao tulikuwa tunakubali ujinga.. tumeamka na hatulali mzeee tafuta sehemu nyingine kuwatete hao mafisadi. Kama unaota watu wanawaonea hao marafiki zako kwasababu ya rangi zao waambie waridishe hela zetu alafu wahame nchi ila hatutakaa kimya tunaibiwa na kuendelea kuwa masikini for only few people ambao ukiwataja ohh tunawaonea kwa ajili ya rangi zao..
mbona kunawahindi (asians origional) wengi wanafanya biashara tanzania na hawatajwi?
Lipumba angetuambia Mengi alichokosea ni nini...
True to form Professa Lipumba, always detailed and well-reasoned. Sio Simba anasema tu "Mzee kachemka..."Bwana Mengi kumsifia Rais Kikwete kuwa mpambanaji dhidi ya ufisadi, si ujasiri, bali ni kujipendekeza kwa bei rahisi, kwa kuwa hivi sasa yuko madarakani na akishamaliza kipindi chake na kuachia wadhifa, bila shaka atamponda vilivyo, alisema Profesa Lipumba.
Kiongozi huyo wa CUF ambaye anakuwa mwanasiasa wa pili mwandamizi kutoa matamshi ya kumpinga Mengi, baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Sophia Simba, kufanya hivyo juzi, alisema kitendo cha Mengi kuwataja watuhumiwa Wahindi watupu, kinalenga kuwajengea imani wananchi kuwa tatizo la ufisadi Tanzania limeletwa na Wahindi wachache, jambo ambalo alisema ni la hatari na lenye nia ya kupotosha.
Lipumba, mmoja wa wachumi wanaoheshimika kimataifa, alisema...Mengi anacheza karata ya ubaguzi wa rangi, kwa kuwa umma wa Watanzania utakaposikia majina hayo, unashawishika kuamini kuwa tatizo la ufisadi Tanzania limeletwa na Wahindi wachache, na kwamba hao watano wakikamatwa na kuzuia wengine wasiibuke, watakuwa wamemaliza tatizo la ufisadi nchini. Hii ni dhana potofu, na ni ya hatari sana, hasa ukizingatia kuwa baadhi ya wananchi wengi wana mashaka na uzalendo wa raia wenye asili ya Kiasia, alisema Profesa Lipumba.
Alisema kauli ya Mengi haisaidii vita dhidi ya rushwa na kwamba i nadhoofisha na kupoteza malengo kwa kuwa matatizo ya ufisadi yamesababishwa na udhaifu na ukosefu wa uongozi imara wa rais na kusababisha kuchangia kuenea kwa rushwa nchini.
Kauli ya Mengi haisaidii vita dhidi ya rushwa na kwa kweli inaidhoofisha na kupoteza malengo. Udhaifu na ukosefu wa uongozi imara wa Rais Kikwete ndiyo unaochangia kuendelea kwa rushwa, alisema Lipumba kwa kujiamini.Akitoa mifano, Lipumba alisema, iwapo Kikwete asingekuwa dhaifu, angeweza kuingilia suala la ufisadi wa EPA Agosti mwaka 2006 wakati wakaguzi wa mahesabu ya Benki Kuu, Kampuni ya Delloitte & Touch walipoibua na kutoa ushahidi kuwa Kampuni ya Kagoda Agriculture ilichota kiasi cha dola milioni 30 kwa nyaraka za kughushi.
Alisema pia kwamba, iwapo Kikwete angekuwa imara, basi angeifanyia kazi taarifa ya taasisi ya Uingereza inayochunguza ufisadi mkubwa ya SFI, ambayo katika taarifa yake ya Machi mwaka jana iliwataja kwa majina maofisa wawili wa ngazi za juu serikalini waliohusika katika kashfa ya rushwa inayohusu ununuzi wa rada ya bei ya juu ya dola milioni 40 mwaka 1999.
Awali Lipumba alisema kitendo cha serikali kuamua kubadili maamuzi ya Baraza la Mawaziri lililotaka kuchukuliwa kwa Kampuni ya CDC Globeleq, kwa ajili ya kazi ya kufua umeme wa dharura na kuipa kazi Richmond, hakiwezi kuwa kilifanywa na (aliyekuwa) Waziri Mkuu (Edward Lowassa) na (aliyekuwa) Waziri wa Nishati na Madini pasipo rais kuafiki uamuzi huo.
Mengi anatumia vita dhidi ya ufisadi katika kupanda mbegu ya ubaguzi na kwamba tukipanda mbegu za ubaguzi wa rangi tunaweza kuteleza na kuingia katika ubaguzi wa kidini na kikabila , alionya Lipumba.
Alisema kwa kuwa Mengi ameonyesha kuwa na mahusiano mazuri na rais, ingekuwa ni jambo la busara kwake kuchukua ushahidi alionao kuhusu mafisadi papa hao na kumpelekea rais na TAKUKURU, na iwapo hatua zisingechukuliwa hapo ndipo angeweza kutoa kauli za namna ile alivyofanya.
Na huyo mleta mada nae angekwambia Lipumba alichosema ni nini. Lipumba kama kawaida yake
1) kaeleza kwa kina ni kwa nini Kikwete, na sio Wahindi papa, wenye tatizo hapa,
2) kaanisha kwa undani ni kwa nini Mengi kachagua Wahindi kujikomba kwa Kikwete, na
3) katoa oni lake Mengi alitakiwa afanye nini kama ana hizo info kweli:
True to form Professa Lipumba, always detailed and well-reasoned. Sio Simba anasema tu "Mzee kachemka..."
Mwambieni Mengi ataje wale wengine watano alafu tutamuunga mkono kweli kwa sababu watamtesa sana.
If you think you are aggrieved, you have the right to seek redress in a court of law where your innocense or guilt will be proved. GT, waambie hao mafisadi wako kama wana ubavu waende mahakamani. Muulize Rostam mkikutana; kwanini hakumpeleka Slaa mahakamani hadi leo?whatever happened to presumption of innocence?
Na huyo mleta mada nae angekwambia Lipumba alichosema ni nini. Lipumba kama kawaida yake
1) kaeleza kwa kina ni kwa nini Kikwete, na sio Wahindi papa, wenye tatizo hapa,
2) kaanisha kwa undani ni kwa nini Mengi kachagua Wahindi kujikomba kwa Kikwete, na
3) katoa oni lake Mengi alitakiwa afanye nini kama ana hizo info kweli:
True to form Professa Lipumba, always detailed and well-reasoned. Sio Simba anasema tu "Mzee kachemka..."
Dilunga, hayo uliyosema sawa mkuu!
Swali. Je, Yeye Lipumba kama Kiongozi wa upinzani amefanya nini kuhusu mafisadi?
Dilunga, hayo uliyosema sawa mkuu!
Swali. Je, Yeye Lipumba kama Kiongozi wa upinzani amefanya nini kuhusu mafisadi?