Mwitikio wa Serikali na Wengine juu ya Mengi kutaja mafisadi!

Kwa nini wewe unaamini kuwa kuna baba zao? inawezekana hawa ndio mababa labda kama unataka Mengi e-expand list yake.
Haujaelewa swali langu..kwanini ukiwa baba hauwezi kuwa na baba?yes kuna mbaba zao awataje basi..mie kuna kitu anchoogopa..

kuwataja tu wenye asili moja ndilo tatzio langu la kwanza

2.Amekuwa na ugomvi na hawa watu kwa muda mrefu
 







yah kitadumu chama mafisadi na hakiwezi kudumu bila rostam azizi,
 
He he he!

Huyu mama alikurupuka kuwasafisha mapapa. Tuone sasa akijiokoa.

Pinda kasema bungeni kwamba mambo mengine watu wasikurupuke!!!! Tena baada ya kusema kwamba Mengi hakukosea!
 
Hapa naanza kupata wasiwasi na uadilifu wa CCM na hawa umoja wa vijana wake kutoka Tabora hivi siku zote hizi ndo kwanza leo wanamjua kama Mengi mbaguzi? kwa kuwa tu katajwa mtu wa na wenzake, siku zile vyombo vyake vya habari vikiwatukana WAPEMBA na kuwaita "magaidi" walikuwa kimyaa.
 

Mkuu heshima mbele

Mimi nafikiri hapa cha kuhoji ni kwanini mengi amewataja hao waliotajwa? Pili naona kama nchi ipo ipo mtu anataja kwamba kuna Mafisadi na wala haulizwi kwa maana ya kutoa ushahidi. Kutoa ushahidi kwa Mengi ndio kutafungua milango ya ufisadi wote. Wananchi hatujajua tuu kwamba Mengi anaweza akawa amefungua njia kwa namna moja ama nyingine kumaliza hili tatizo ambalo wengi tunaona kama ni sugu la UFISADI.

Ila sasa cha msingi lazima watajwa waweze kujitokeza na kutetea usafi wao dhidi ya tuhuma za bwana Mengi unless otherwise Maneno ya Bw Mengi yana ukweli 100%
 
Pole sana mpambanaji,tatizo umaskini unaouona Tabora hauko huko tu ni sehemu nyingi.Kinachosumbua kwa watanzania wengi ni fikra tegemezi hawawezi kusimamia hoja zao wenyewe.Ni bahati mbaya Rais wa kwanza alikuwa msomi na akili nyingi na alioongoza kwa mda mrefu.Hivyo fikra za watanzania wengi ukishakuwa kiongozi wao fikra zao zinawatuma kuwa una uwezo wa kufikiri kuliko wao na kuangukia kila wakati kusubiri maagizo ya watawala wao.
Juhudi ya kuanzisha wazo na walisimamie wenyewe hawana,Mwalimu aliwadekeza kufikiri kwa niaba yao.Nashukuru sana Mwanakijiji anahangaika kuwatoa kutoka huko kwamba mungu aliwapa mwalimu tu na hatoi mara mbili.Nakumbuka hotuba ya kihistoria aliyotoa Mbeya siku ya mei mosi watawala wetu hawataki kuirudia.Na wamehakikisha electronic media hairudii hotuba ile wakihofia wananchi wasielewe namna ya kutafuta viongozi bora.
 

Pathetic! Ni vijibwa tu, kazi kutumika na ulafi mbele
 

Kadu,

Hii laana haitupati siye Wanyamwezi. Naona uachanganya nsansa na nswalu. Wasukuma ni maana yake Wanyamwezi wa Kaskazini na siye Wanyamwezi wa Tabora wanatuita Wadakama. Wasukuma wanalima Pamba wakati sisi twalima tumbaku kwa wingi. Hivyo labda bei ya tumbaku ikishuka, tumelaaniwa.

Kama utakumbuka kuwa miaka ya 80 ilikuwa kichekesho kujenga kiwanda cha nyuzi Tabora wakati Pamba zatoka Mwanza/Shinyanga.

Mwisho niseme tena, kwa wananchi wa kawaida, hata hawaelewi nini kinaendelea. Ni watu ambao walitakiwa waseme "Hivi lini Sallum Abdallah atakuja Sikonge...?" Usiwaone wamevaa vizuri na vizimu vya mkononi, ushamba wao hadi unatisha.
 
jk - 1995


Mwanahabari una chuki na watu wengine siyo!Tutajie ni wkanini uwaone hawa wazee Mafisadi?acha mambo ya kizushi..Mie nimemuomba Mengi atutajie tu sababu yeye si ndiyo mtu wa kuhukumu watu na kuwapa makosa..

Mpaka sasa sijapata ushahidi wa kutosha kuwa Mkapa na JK ni Mafisadi,Hivyo napingana na Mawazo yako Mpaka nitakopothibitishiwa hivyo mahakamani!

Wanaweza kuwa na mapungufu yao katika utendaji ila bado sijafikia hatua ya kuwapaka Matope kiivyo ila wana matatizo yao na sikatai!
 
Mkuu Sikonge,

Hao ndio wawakilishi wa Sikonge? Kwi kwi kwi!!!!

Aafadhali Kyela kumbe tunatembeza bakora kwa viongozi wabovu.

Hao vijana wameambiwa tu wakaseme nini, yaani watanzania tumegeuka vikaragosi vya watu wengine. Kuna wa RA, kuna wa Mengi, kuna wa Manji, kuna wa Mtanzania kwi kwi kwi!!!

Mtu mwenye dhiki kweli hawezi kuwa huru. Hawa vijana inatakiwa wasaidiwe waweze kujitegemea na wala sio kutegemea mifuko ya wanasiasa majambazi. Ndio maana viongozi wetu wangependa kuona hawa vijana wanazidi kuwa wajinga na kuendelea kuimba nyimbo zao. Balaa kabisa hii!
 

Wilaya ya mkoa wa Tabora ni ipi hiyo .... utetezi wa fisadi unawafumba hadi mnaandika pumba tupu.

Phweeewhu ....
 
Ajabu na kweli leo uvccm Tabora wanamtetea Rostam kuhusu ufisadi,jana wazee wa yanga walitoa tamko la kumtetea Manji.jamani haya ni makundi ya watu wenye njaa kali tusipoteze muda wa kujibizana nao.nchi hii ya ajabu sana ukimwona mtu anajinufaisha kupitia nafasi aliyonayo ukisema wanakuona mbaya .oo fulani anatibu dili za watu,jamani hatutafika tusipoambizana ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…