``He (Mengi) has exercised freedom of speech enshrined in the constitution. It is for those implicated to react. If they want to go to court its upon them to decide. It is better for Tanzanians to be careful when commenting on issues pending in court,`` Pinda said.
``He (Mengi) has exercised freedom of speech enshrined in the constitution. It is for those implicated to react. If they want to go to court its upon them to decide...
Natamani hivyo kaka, natamani niandamane uchi kutoka Gongolamboto, kupitia buguruni, kariakoo, , niingie bibi titi nimalizie IKULU, natamani dunia ijjue mtamsema weeeeeeeeeeeeee RA, kumbe cha mtoto kuna watu wanakula fedha kila kona, rangi zao nyeusi tii kuliko mimi, ! CCM has to GO!!! that is solution!!!!!! tukilala tukiamka hakuna kumsifia Mwakyembe wala Kilango wote wako dampo, wote waondoke madarakani! tumewapa mika 40 inatosha, inatosha, inatosha uuuuuuuuwiiiiii!
HI Gembe,Nataka Kumjua baba wa Mafisadi,Nani anawalea mafisadi?
Mie nimeona sasa Mengi ameenda mbali sana,Katumia Vyombo vyake vya habari vibaya sana na mpaka sasa nashindwa kuelewa ni kwanini Jukwaa la Habari limekaa kimya kuhusiana na habari hii.Tukiachia mambo kama haya siku mtu anweza kuamua kuwatangazia UMMA mambo ya ajbu ajabu tu!
Kama anajua Kila "flani" ni mapapa basi atuambie baba yao ni nani?hauwezi kuwa papa kama haujazaliwa na papa,na hauwezi kuishi kwa ujanja tu bila ya kulelewa na PAPA.Kwa maana nyingine aseme tu kuwa Na "flani" ni papa,awaorodheshe!
Inawezekana Mengi anawaju wazazi wa hawa Mapapa,ila kwa suala hili la kuchonga juzi mie nasema mzee amechemka,na maejenga chuki kati ya watu na pia ameleta "Ukaburu"!
Kama asipotaja baba wa Mapapa,anayawealea mapapa mie nitandelea na msimamo wangu kuwa Mengi ameamua kuwachafua kina RA na wenzake!
Tabia ya mtu kutaka Sympathy kwa wanachi imepitwa na wakati,
Yes,Mengi najua unaweza kuwataja wazazi wa hao mapapa.Come on do it Now!
Very diplomatic. Sophia Simba sijui ni member hapa JamiiForum asome hii? 🙂
Hapa ndio nikasema kuna makundi utaona Pinda yupo na Mengi ,CCm Yanga wapo na Manji na sijui CCM Tabora wapo na Rostam ,Chadema wapo na Mengi ,Je huu ni upinzani hamuoni kuwa mnachezeshwa gwaride la kushoto na kulia.
Ni lazima upinzani ujitenge kabisa na watu hawa ,mnapoambiwa kuwa CCM yote ni corruption basi muwe na mkakati wa kweli kusimamia hoja hio na isionekane mnayumba ,
Ni lazima upinzani uende kivyakevyake iwatenge wananchi na Sultani CCM kwa kutumia vyanzo vyake na sio kutegemea vita vilivyomo ndani ya mitandao ya CCM.
Kama ndiyo tafasiri, basi unaweza kusema pia LIpumba yupo na Simba na Mkuchika, kwa hiyo dots zingaungana na linakuwa duara.
Mimi nadhani jambo la msingi ni pale panapokuwa na ukweli basi hatuna budi kusimama katika kweli!
Hapa ndio nikasema kuna makundi utaona Pinda yupo na Mengi ,CCm Yanga wapo na Manji na sijui CCM Tabora wapo na Rostam ,Chadema wapo na Mengi ,Je huu ni upinzani hamuoni kuwa mnachezeshwa gwaride la kushoto na kulia.
Ni lazima upinzani ujitenge kabisa na watu hawa ,mnapoambiwa kuwa CCM yote ni corruption basi muwe na mkakati wa kweli kusimamia hoja hio na isionekane mnayumba ,
Ni lazima upinzani uende kivyakevyake iwatenge wananchi na Sultani CCM kwa kutumia vyanzo vyake na sio kutegemea vita vilivyomo ndani ya mitandao ya CCM.
Nipashe ya leo tarehe 1 mei 2009 imeandika kichwa cha habari kifuatacho."Kilango awashukia wanaotetea mafisadi" na aya ya tatu imeandikwa ifuatavyo :
Pia ,hafla hio licha ya kumpongeza Mwenyekiti wa IPPkwa ujasiri wa kutaja Watanzania wenye asili ya kiasia na madhara yao hadharani,.....Huu ni ubaguzi tena wa Hitler kwa kuwa wapo waasia wengi tu ambao hawana tatizo na mtu
viongozi hao waliokuwepo walijibu kuwa kwa heshima aliyonayo Bw mengi lazima tu ataomba radhi, ndipo mwandishi mmoja aliposisitiza tena je asipoomba? kibaya zaidi majibu yote fasaha yaliyojibiwa vizuri na Mhamasishaji wa mkoa ITV hawakuonyesha kabisa kwa maana walikata sauti huo nao si UFISADI? mbona vituo vingine kama DTV, chanel Ten nk vimerusha kile kilichojiri bila upendeleo!