Mwitikio wa Serikali na Wengine juu ya Mengi kutaja mafisadi!

Najikumbusha tuu kuwa kuna watu wana powers za ajabu sana, ukiwatibua au kuwasema vibaya huwezi kubaki salama! .
Alianza Silvsnus Adel
Shabbir Dewji
Franco Tramontana
Wilson Masilingi
Lawrance Masha
Yusuf Manji
Rosram Aziz
Sofia Simba
Adam Malima
Prof Muhongo yeye ni survival

Paskali
 
Ni vizuri Simba na mwenzie wakazibitsha wazi kua, n kweli ufisadi upo au haupo tz.
Kama upo yeye awataje vinara wa ufisadi sio alete siasa afu sie tunaumia na ufisadi wkt kakabidhiwa dhamana hiyo!
Waache siasa reginard mengi sio mtoto mdogo, pia ss sio watoto wadogo!
Simba asifanye wtz watoto wadogo kwa ukimya wetu.
 
Sofia Simba anafahamiana na Rostam Aziz kwa muda mrefu, hivyo siwezi kushangaa kama atamvalia njuga Mengi.
Huu mchezo hautaki hasira...Magu alianza kuondi kuzo za mafisadi kwenye chama na serikali sasa ameanza kuwashukia vilivyo mafisadi papa
 
Tuendelee kushuhudia power za aina mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…