sijaona kosa la LIPUMBA mimi..from the best of my knowledge, a mistake is taken into record if committed by someone who is CAPABLE OF DOING THE SAME....nafuatilia siasa za BONGO tangu miaka ya mwanzo ya mfumo wa vyama vingi..ajitokeze mtu anikumbushe LIPUMBA kaongeza nini cha maana kwa WATANZANIA,na pia kwa USOMI wake kama 'MCHUMI ALIYEBOBEA' ametoa mchango gani hata wa kuamsha UMMA juu ya matatizo MAKUBWA yanayoendelea katika nchi yetu..KUNA MTU AMEFIKA NYUMBANI (kijijini) ANAPOTOKA LIPUMBA? haihitaji ushahidi wa ziada kwa nyinyi wadau kufahamu kwamba LIPUMBA is just another LI-PUMBA in TANZANIA,hana mchango wowote wa ziada,ni aina ya wanasiasa uchwara walioingia kwenye siasa UKUBWANI kwa SHAUKU na si MIKAKATI..he is a good chap in HATE-POLITICS (AM TEMPTED TO LABEL HIM A RELIGIOUS FUNDAMENTALIST).USHAURI WANGU KWAKE NI RAHISI SANA,2010 ATULIE, AJARIBU KUGOMBEA UBUNGE NYUMBANI KWAKE, AKAPAMBANE BUNGENI SO THAT WE MAY PROVE IF AT ALL HE IS WORTH ANYTHING...ndugu zangu CUF wanatakiwa wawe makini na huyu mheshimiwa, otherwise their diminishing chances of reviving dwindling popularity in the MAINLAND shall never be realized...
KWA MAMA YANGU SOPHIA SIMBA.....
"POLITICS IS A DIRTY, VERY DIRTY GAME...FROM WHAT I CAN SEE IN YOU, YOUR NOT ENTITLED TO EAT EVEN WITH THEIR HOUSEGIRL...namaanisha, if at all wanakutumia, amini kwamba hawana COMMON GOAL na wewe, utadondoshwa njiani"
MY HONOURABLE PRESIDENT:
"LET ME TELL YOU ONE THING; EVEN THE LAYMEN, OR TERM THEM SOLID MAJORITY, KNOW WHO IS WITH YOU AND WHO'S NOT WITH YOU IN YOUR VERY OWN CABINET...2010 SIO MBALI, UKIMYA NA UPOLE WAKO UNATUTIA MASHAKA MAZITO SANA WHEN CONSIDERING THE FATE OF OUR BELOVED MOTHERLAND...HIVI TUPO PAMOJA KWELI!??..."
am out....