Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
QUOTE=Field Marshall ES;436819]2. Kapuya - A. (alisaidia kumfunga Rage, asigombee ubunge jimbo la jirani yake Kapuya & Patners kwenye migodi).Kapuya amekwishakuwa waziri wa kazi na yeye ndie mwenye kupendekeza kwa Rais nani awe Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF na kama waziri huteua wajumbe wa bodi!! Kwa taarifa tu akiwa waziri mwenye dhamana, alimpetekeza Siraju Juma Kaboyonga akawa mwenyekiti wa NSSF wakati Manji anakomba fedha za wafanyakazi. Na kaboyonga sasa ni mbunge wa Tabora mjini anayewatetea mafisadi bungeni[ Mtetezi wa kampuni iliyokodisha reli RITES na mmoja wa wapinzani wakuu wa hoja za DR. Slaa]. GT kwahiyo Kapuya anaproxies!!
Kipindi Speaker Samuel Sitta anatuhumiwa na matumizi ya fedha nyingi kwa ajili ya matibabu MBONA HAWAKUSEMA KITU yule mzee si mzee wao wa tabora tena ni speaker wa bunge.............hawa ndiyo viongozi wetu wa kesho.....halafu watu wakikana utanzania wao mnakasirika....
Labda la muhimu kujiuliza na kupanga ni JINSI YA KUWAAMSHA NDUGU ZANGU HAWA
Pia, alisema ameshangazwa na kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ambaye huko nyuma aliwahi `kuushikia bango` ununuzi wa rada kwa madai kwamba, ndani yake kuna harufu ya rushwa, lakini leo anadai watu hao hawakukosea.
Soma vizuri kauli ya Mrema ndio ujadili sio kukurupukaMrema wa Chadema anasema kuwa wana CCM wananufaika na hao mafisadi.kwani Chadema nao hawanufaiki na Mengi?
Mengi ndio mfadhili wa helkopta za Chadema unategemea watamsema vibaya?
kwenye ununuzi Ndege ya rais na rada kuna wafanyabiashara wazalendo toka mkoa wa kilimanjaro wanahusika na MENGI anawajua lakini hawajatajwa.
hapa kila upande unatizama maslahi yake.kama vijana wa UVCCM walivyotoa tamko kumsafisha RA na chadema nao wanamsafisha mfadhili wao.
Patamuu mkuuu...Hivi mengi anawagaia fedha kama alivyotoa kwa CCM kuwasaidia katika shughuli zao za kuangamiza upinzani ? Mengi amewataja mafisadi na kuwawacha wengine kama haitoshi amempongeza Raisi Kikwete ,sasa mnataka Chadema tuwaelewe kuwa mpo pamoja na Mengi kuhusiana na msimamo wake ? Mkiambiwa kuwa Chadema ni mamluki wa CCM mnapiga makelele .
Patamuu mkuuu...Hivi mengi anawagaia fedha kama alivyotoa kwa CCM kuwasaidia katika shughuli zao za kuangamiza upinzani ? Mengi amewataja mafisadi na kuwawacha wengine kama haitoshi amempongeza Raisi Kikwete ,sasa mnataka Chadema tuwaelewe kuwa mpo pamoja na Mengi kuhusiana na msimamo wake ? Mkiambiwa kuwa Chadema ni mamluki wa CCM mnapiga makelele .
Hivi mengi anawagaia fedha kama alivyotoa kwa CCM kuwasaidia katika shughuli zao za kuangamiza upinzani ? Mengi amewataja mafisadi na kuwawacha wengine kama haitoshi amempongeza Raisi Kikwete ,sasa mnataka Chadema tuwaelewe kuwa mpo pamoja na Mengi kuhusiana na msimamo wake ? Mkiambiwa kuwa Chadema ni mamluki wa CCM mnapiga makelele .