Mwizi kaniibia kila kitu nyumbani mwangu, nimeamua kuwekeza kila kitu nimshughulikie

Mwizi kaniibia kila kitu nyumbani mwangu, nimeamua kuwekeza kila kitu nimshughulikie

Sijui ndo ajira mpya hizo.
Maana mashabiki wanafurahia fedha kupotea ila ndo matokeo haya.
Umeoa?
 
Njoo Tanga,ukifika tu KANGE hit me up +255625697394.
Atarudisha hadi ufagio aloiba.
 
Unawekeza kwa mwizi? vitu vinatafutwa anza upya muachie Mungu wako ,isije ikawa unaongeza hasara juu ya hasara
Aanze upya kutafuta vyeti? Means aanze tena nursery hadi chuo? Umesoma kweli bandiko vizur?
Acha kupayuka bwamdogo.
 
DUh!!maskini..pole sana. Sipendi wizi ni kurudishana nyuma jamani. Aisee deal nae hata kwa sangoma,Mungu ataelewa tu.
 
Anza kwanza kwa yoyote mliyokuwa na kisasi...

Hali ya mahusiano na mwananke wako ipo vipi?

Mpaka unasafishiwa nyumba inaonekana wewe siyo mtu wa kurudi nyumbani kwa muda mrefu...

Pole sana...


Cc: mahondaw
 
umeamua kuwekeza kila kitu ili umshughulikie,................. mpaka hapo maelezo yako yanatuambia ushabuni na ushaanza kutekeleza huo mkakati wako ili umshughulikie, mbona unatuomba tena ushauri ? btw pole sana mkuu hizo ni changamoto.... umeleta hapa ili tukushhauri uende kwa sangoma ? Big NO.... omba kwa imani yako, usilipe ubaya kwa ubaya, pengine ni majaribu tu, unaweza kuja kufanikiwa zaidi ya ulivyopoteza
 
Huyo mwizi anakupenda sana aliacha sabuni ili ukitoka kuvitafuta uwe unaoga!
 
Unatoa Laki moja unapewa nyuki wenye idadi ya laki moja,elfu hamsin u apewa nyuki elfu hamsini nakuambia wanamfata popote wanang'ata na kumwambia rudisha vtu vya watu rudisha vtu vya watu,hata km yupo Kenya wataenda tu,na wanamfuata muhusika mwenyewe hata kama amelala na mkewe anang'atwa ye mwenyewe,,,kazi kwako,,,Ila kbuka shirki ni dhambi
 
Sijutii nilivyo wavunja viuno wezi wanne waliokuja kuiba hapa kwangu mpaka wa leo wanatambaa.
 
Pole..... Joseee nimekaa katika kiti chako kwa muda hapa
Wakati unafurahia (unajipanga) kukalia nafasi yake, tayari mwenzako anakupumulia chini...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] duuh...asee...jamaa sidhani kama ana muda wa kula huyu...!!

I salute Joseee..!! Keepi't up...!!
Kila la heri ila kuwa makini
 
Back
Top Bottom