Unasema kweli kaka? Ilikuwaje....Sijutii nilivyo wavunja viuno wezi wanne waliokuja kuiba hapa kwangu mpaka wa leo wanatambaa.
Ndugu zake tena mkuu!!kwani wao ndio walimtuma akaibe?Ni PM Umpe kichaa kuanzia Ndugu zake mpaka yeye,hilo ndiyo tego,wanaudhi sana hawa jamaa