Mwizi Sugu

Mwizi Sugu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ya biko ??.
Alipoulizwa atafanya nini na hela nyingi hizo
Akasema anataka kupanua shughuli zake. Mimi sijamuelewa na sasa hivi watu wameanza kuhama mtaa…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ya biko ??.
Alipoulizwa atafanya nini na hela nyingi hizo
Akasema anataka kupanua shughuli zake. Mimi sijamuelewa na sasa hivi watu wameanza kuhama mtaa…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom