Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gogoz atakuwa kafungua darasa la tuisheni anakula mtonyo tu.Hata hivyo,arudi jukwaani.😂😂😂Popote ulipo pokea salaam,rudi kwenye kituo chako cha kazi🤣🤣🤣
Kambi ni popote mkuu uwalimu ni wito
Yupo anasahihisha mitihani ya nusu muhula (Terminal examinations), kuandaa report za matokeo, na majukumu mengineyo, ametingwa sana na kazi. Shule zikifungwa mtamuoma hapa Kwa kasi ile ile, na kejeli zake zile zile.Yupo kimya sana.