Mwl mwenzangu anataka mume

Je mnahitaji awe na vyeti?
 
0713 IPO salama [emoji23] [emoji23] tuanzie hapa kwanza
 
Mimi niko tayari kwa hilo lakini siko tayari kuishi Mbeya mimi niko Zanzibar vipi ataridhika kwa hilo?
 
Inamaana huyu atakuwa bado hajaolewa kweli au kuwa kwenye mahusiano tayari? Maana post ya muda hii
 
alafu hana nia ya kuolewa huyo labda kama atakuwa tayari kapata cos waoaji wana m pm bt no reply!
 
Yule alishapata na kuchumbiwa ila kuna mwl mwingine anataka kuolewa na mwanaume asiyetaka kuzaa tena na ana mtoto mmoja huyu mwl
 
Mwambie aje PM
 
Miaka minne sasa atakuwa bado yuko single
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…