jafari fredinandi
Member
- Sep 29, 2013
- 11
- 0
Je mnahitaji awe na vyeti?Salama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
1. Cheti angalau darasa la 7haya tunaomba vigezo unavyovihitaji
nina cheti cha 6 na pia kuhusu pesa ya kukidhi mahitaji ipo1. Cheti angalau darasa la 7
2.awe na pesa
Mwambie aje PMSalama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Miaka minne sasa atakuwa bado yuko singleSalama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.