Mwl mwenzangu anataka mume

ina maana huyo mdada hatongozwi?duh mbn majanga!!! wengine tunatongozwa na tuna mapete mkononi aic mxiew....ila nakushauri sidhan km utampata mume humu labda uniambie wa kupass nae tym...sijui nikupe pole?
 
Mmh ! Kawakosa huko ktaa ndo anakuja hum ....mmh haya bana acha tumuombee apate mcharuko mwenzieee
 
Upo serious njoo private.
 
Wangoni si wale wa Ruvuma? Nasikiaga wakisindikizana hawafiki safari lazima walale njiani.

Wanao karibia kuoa mchumba huyoo
 
ina maana huyo mdada hatongozwi?duh mbn majanga!!! wengine tunatongozwa na tuna mapete mkononi aic mxiew....ila nakushauri sidhan km utampata mume humu labda uniambie wa kupass nae tym...sijui nikupe pole?
Mrs Air acha kutufukuzia ndege buana,, wengine tuna ugwadu wa karne nyingi....πŸ™„ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…