hahahha ilikuwa comment chokozi kwa mleta mada kama katumwa au ni yeye ndio mhusika mkuuDrake una kibamia ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahha ilikuwa comment chokozi kwa mleta mada kama katumwa au ni yeye ndio mhusika mkuuDrake una kibamia ?
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Mbona unamkazia sana dada wa watu... Kakosea nini!?? Acha hizomm sio Mkuu kuwadi ww
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Si kweli Mkuu.... Si kweli..Inaonyesha Wote wawili Wewe na huyo Mwenzako mna bahati mbaya na dhiki mno na Wanaume. Jitakaseni Kwanza mtaolewa tu. Ukina Mwanamke anatafuta Mume Mitandaoni jua ya kwamba amefilisika fikra / upeo kwa kiwango cha juu kabisa na hayuko pia mbali kuwa Mwendawazimu wa Kutukuka.
ukiona mtu anatoa namba zake waziwazi na hovyo kirahisi hivi ujue mtu wa namna hii keshajizira yaani anaishi tu kwa bahati mbaya hana chakupoteza!!! mtu wa namna hii hatari sana kwa afya yakoNitafute 0763756940 whatsup
Unakataa vibamia kwani unaenda kugegedana naye wewe?hapana kwa kweli