[emoji23][emoji23]Picha yake tumuone pls
pm me please am serious cos nataka wife! mengi zaidi tutaongea pm! uyole is ma home.Salama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Claimed by Robert Gabriel MugabeMkiwaga na miaka 25 mbwembwe nyingi saivi mnahaha
*Kuoa mwanamke aliyefikisha miaka 28 ni sawa na kununua gazeti jion*
Duuuh miaka 28 mwalimu wa shule ya msingi! Waalimu wakuu si watakuwa wameshamtafuna mpaka amebakia makapi tu......Salama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Kwani JF haina bwana ndani yake? Au JF ni gwnge la mashetwani? Tutake radhi mkuu....post nyingine hopeless kabisa.....sasa hivi kale kausemi kwamba mke/mme mwema anatoka kwa Bwana hakapo tena sasa hivi hata JF inatoa mme/mke mwema
Kwani JF haina bwana ndani yake? Au JF ni gwnge la mashetwani? Tutake radhi mkuu....post nyingine hopeless kabisa.....sasa hivi kale kausemi kwamba mke/mme mwema anatoka kwa Bwana hakapo tena sasa hivi hata JF inatoa mme/mke mwema
Weka picha yake Tuone kama inafaaSalama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
we mbona tangazo la kitambo sana hili,alishaposwa mwenzio.wanajf wengine wanamalengo kweli.ukimtaka ambaye bado hajatafunwa labda umuoe binti yako wa kumzaaDuuuh miaka 28 mwalimu wa shule ya msingi! Waalimu wakuu si watakuwa wameshamtafuna mpaka amebakia makapi tu......
Anyway ngoja waje.....
Kwa hiyo wewe umeoa binti yako?we mbona tangazo la kitambo sana hili,alishaposwa mwenzio.wanajf wengine wanamalengo kweli.ukimtaka ambaye bado hajatafunwa labda umuoe binti yako wa kumzaa
Sadock wewe ni yule security guard wa arusha?post nyingine hopeless kabisa.....sasa hivi kale kausemi kwamba mke/mme mwema anatoka kwa Bwana hakapo tena sasa hivi hata JF inatoa mme/mke mwema
Nisaidie kumuuliza mwalimu kama ANAFUGA CHURAAAA?Salama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Mwambie anipm Niko seriousshe is a christian
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mkiwaga na miaka 25 mbwembwe nyingi saivi mnahaha
*Kuoa mwanamke aliyefikisha miaka 28 ni sawa na kununua gazeti jion*