Mwl mwenzangu anataka mume

Mwl mwenzangu anataka mume

Salama jamani,

Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.

Samahani jamani yupo serious sana.

Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
pm me please am serious cos nataka wife! mengi zaidi tutaongea pm! uyole is ma home.
 
Salama jamani,

Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.

Samahani jamani yupo serious sana.

Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Duuuh miaka 28 mwalimu wa shule ya msingi! Waalimu wakuu si watakuwa wameshamtafuna mpaka amebakia makapi tu......
Anyway ngoja waje.....
 
post nyingine hopeless kabisa.....sasa hivi kale kausemi kwamba mke/mme mwema anatoka kwa Bwana hakapo tena sasa hivi hata JF inatoa mme/mke mwema
Kwani JF haina bwana ndani yake? Au JF ni gwnge la mashetwani? Tutake radhi mkuu....
 
post nyingine hopeless kabisa.....sasa hivi kale kausemi kwamba mke/mme mwema anatoka kwa Bwana hakapo tena sasa hivi hata JF inatoa mme/mke mwema
Kwani JF haina bwana ndani yake? Au JF ni gwnge la mashetwani? Tutake radhi mkuu....
 
Salama jamani,

Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.

Samahani jamani yupo serious sana.

Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Weka picha yake Tuone kama inafaa
 
Duuuh miaka 28 mwalimu wa shule ya msingi! Waalimu wakuu si watakuwa wameshamtafuna mpaka amebakia makapi tu......
Anyway ngoja waje.....
we mbona tangazo la kitambo sana hili,alishaposwa mwenzio.wanajf wengine wanamalengo kweli.ukimtaka ambaye bado hajatafunwa labda umuoe binti yako wa kumzaa
 
we mbona tangazo la kitambo sana hili,alishaposwa mwenzio.wanajf wengine wanamalengo kweli.ukimtaka ambaye bado hajatafunwa labda umuoe binti yako wa kumzaa
Kwa hiyo wewe umeoa binti yako?
 
Salama jamani,

Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.

Samahani jamani yupo serious sana.

Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
Nisaidie kumuuliza mwalimu kama ANAFUGA CHURAAAA?
 
Back
Top Bottom