kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Bora umejibu mkongwe maana watu wanapenda kuwasemasema kama vile hampo.Makongoro amemshinda yule jamaa katika kinyang'anyiro cha ubunge wa E A Sasa unataka watoto wa Mwalimu wawe na elimu kiasi gani?