NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,422
- 2,418
Dah, mkubwa umenifurahisha sana.... Kuna mwana bongo fleva mmoja ameimba MATUSI YA KISWAHILI YANAUMA KULIKO YA KIINGLISHI... We hebu cheki, ingekuwaje kama ile faki yuu ya Serukamba angeisema kwa kiswahili? Mle bungeni nina uhakika Spika angemtoa nje...... Hebu hata wewe itamke hiyo Serukamba kimya kimya halafu tafakari na uchukue hatua.... USICHEKE
'kweli aisee hebu fikiria kama hili jina GAY kwa kiswahili mtu akwite MS*ENGE si mnaweza kugombana aisee,sorry MODZ sijamtukana mtu jamani ni tuko kwenye mifano hai aisee kama huyo jamaa hapo juu kasema fakyuu ni moja kati ya mifano MODZ,SORRY'