Mwl. Nyerere alitaka vyama viwili imara vya siasa vishindane kama tunataka tufanikiwe

Nini kifanyike
 
Hebu fafanua vizuri mkuu. Alifuta vyama vya upinzania au vyama vya ushirika na machifu. Hayo makundi ndio wapinzania au mimi ndio nimechelewa kuzaliwa?
Ulichelewa aseee....lakini hata darasani haukusoma kuwa alifuta vyama vya kisiasa !?
 
Nini kifanyike
Vyama vyote vifutwe kabisa tuanze upyaaaah, nchi iwe chini ya utawala wa Jeshi kwa miaka mitatu, then ufanyike uchaguzi huru na haki aliyeshinda kwenye sanduku la kura ndiye atangazwe mshindi.
 
Vyama vyote vifutwe kabisa tuanze upyaaaah, nchi iwe chini ya utawala wa Jeshi kwa miaka mitatu, then ufanyike uchaguzi huru na haki aliyeshinda kwenye sanduku la kura ndiye atangazwe mshindi.
Je jeshi halitakuwa biased naliona kama ni wazo zuri vile kwa maana njia nyepesi tutakwama kwasababu tutakutana na watu wale wale wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data
 
Vyama vyote vifutwe kabisa tuanze upyaaaah, nchi iwe chini ya utawala wa Jeshi kwa miaka mitatu, then ufanyike uchaguzi huru na haki aliyeshinda kwenye sanduku la kura ndiye atangazwe mshindi.
Wanajeshi ni makada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…