Alianzisha Air Tanzania Cargo (ATC) kupeleka mbuzi, kujenga reli mpaka Kibaha na kuua wapinzani. Alifanikiwa sana!Watasema ni yeye pekee aliye thubutu kufufua ATC, kujenga reli,ya Standard Gauge, na kuua demokrasia.
Tundu Lissu: ametusaidia kutambua thamani ya uhuru.Alianzisha Air Tanzania Cargo (ATC) kupeleka mbuzi, kujenga reli mpaka Kibaha na kuua wapinzani. Alifanikiwa sana!
Katiba ya Nchi haisemi rais atachaguliwa kwa miaka kumi.Katiba ya nchi inasema rais atakaa madarakani miaka mitano,ila imempa Uhuru wa kugombea tena miaka mitano mingine.Na hiyo miaka mitano mingine akishindwa akae pembeniMara pumzi imekata amechoka
Mara anataka kuendelea,hamueleweki.
Magufuli atamaliza miaka yake 10 kikatiba,atakuja mwingine,nayeye mtaanza kusimanga kama kawaida yenu,hamna kazi nyingine mnayoiweza.
Dah! Mbona umeishia njiani gafla, hebu funguka basi namimi niongeze maarifa mapya kichwani.Unafikiri aling'atuka kwa kupenda? Mambo yalishakuwa magumu sana.
Badala ya kujadili hoja aliyoisema Nyerere wewe unamjadili Nyerere kama Nyerere kwa hisia zako tu kama vile upo faragha kwa mpenzi wako! Naona ujinga hauondolewi kwa kuhudhuria darasaniUnafikiri aling'atuka kwa kupenda? Mambo yalishakuwa magumu sana.
Akiambiwa kutubu anafura na kutaka kubambikia kesi za kutokuwa raia wa nchi hii kwa wale wanaomtaka afanye hivyo,.....jinga sana jamaa yuleHuyu jiwe amekufuru inatakiwa atubu
Unafikiri aling'atuka kwa kupenda? Mambo yalishakuwa magumu sana.
Maneno.Hii kauli ya kwamba kama hatamaliza changamoto zote yeye hakuna mwingine atakayekuja kufanya hivyo, unaichukuliaje?
Maneno.
Angependa angebaki kama alivyo kuwa Mobutu, Mugabe, Omar Bongo ambae baadae kamuachia mwanae etc. Katiba haikuwa inamzuia.Unafikiri aling'atuka kwa kupenda? Mambo yalishakuwa magumu sana.
Democracy iliyopo inatoshana na kiwango cha maendeleo yaliyopo, itaongezeka kadri tutakavyozidi kupata maendeleo zaidi.Watasema ni yeye pekee aliye thubutu kufufua ATC, kujenga reli,ya Standard Gauge, na kuua demokrasia.
Hata hivyo alijitahidi Mugabe na gadafi mpaka aibu imewakutaUnafikiri aling'atuka kwa kupenda? Mambo yalishakuwa magumu sana.
Anabwabwaja tu. Wakulima wa korosho wapewe malipo yao.Hii kauli ya kwamba kama hatamaliza changamoto zote yeye hakuna mwingine atakayekuja kufanya hivyo, unaichukuliaje?