Unless Nyerere hakukemea hili na Kama pia hujasoma hiyo post ya mwl Nyerere hapo juu ; juu ya wanafiki Kama nyie.Mtake msitake.
Hapa itaitishwa kura ya maoni jpm atapiga 99.99 za watu kumtaka aongozee maisha yake yote ndio utauza sana bia huko kilinyaga
Labda muuwe nusu ya watanzania wote amini hili halitatokea wanachofanya ni kutingisha kiberiti haitaruhusiwa kuijaribu katiba Wala kulitia taifa majaribuni.Over my deadbody.Chuma kimefanya vizuri tunakiongezea muda
hata shetani anatamani sana kumshinda Mungu lakini mara zote ameangukia puaChuma kimefanya vizuri tunakiongezea muda
Hivi nyerere anatawala kutokea makaburini?Unless Nyerere hakukemea hili na Kama pia hujasoma hiyo post ya mwl Nyerere hapo juu ; juu ya wanafiki Kama nyie.
Hivi hamjui kuwa hakuna rais alichukiwa kama NyerereUnless Nyerere hakukemea hili na Kama pia hujasoma hiyo post ya mwl Nyerere hapo juu ; juu ya wanafiki Kama nyie.
Zama zimebadilika shaurianeni muongeze hata wiki moja ndio mtawaelewa watanzania maana Kama hamtaki kuheshimu sheria tulizojiwekea Kama taifa hamuwezi kuwazuia wengine wasivunje hizo sheria kila mtu anapenda raha za ikulu ili kujidhibiti tumewekeana utaratibu huo wa 5/5 basi Sasa uvunjeni muone show.Hivi hamjui kuwa hakuna rais alichukiwa kama nyerere
Nadhani hata mchakato wa kumuongezea muda huufahamu ndio maana unapiga keleleZama zimebadilika shaurianeni muongeze hata wiki moja ndio mtawaelewa watanzania maana Kama hamtaki kuheshimu sheria tulizojiwekea Kama taifa hamuwezi kuwazuia wengine wasivunje hizo sheria kila mtu anapenda raha za ikulu ili kujidhibiti tumewekeana utaratibu huo wa 5/5 basi Sasa uvunjeni muone show.
Lakini si mlimsikia mbunge Kessy aivyosema, kuwa hata kama JPM hataki kujiongezea muda wa kutawala, wao CCM watamlazimisha?Sioni hata dalili km jiwe anataka aongezewe muda after 10 yes, ukimwangalia tu utajua nae kachoka anatafuta pa kutua mzigo.
Sikuwahi kuiona hii habari yenye busara tupu kama ilivyotegemewa kutoka kwa huyo mzee.Ni wewe Ally Kessy na mwenzako Job Ndugai, tumewasikia vizuri sana, ila nawahakikishia kuwa Rais Magufuli hataongezewa muda hata dk 10 tu.
Tanzania siyo Rwanda, Tanzania siyo Burundi, Tanzania siyo Uganda, iacheni Tanzania Kama ilivyo, narudia tena haitawezekana hata iweje, [emoji116]View attachment 1474625
Kwa hiyo wewe ndiye mjuaji pekee?Hivi hamjui kuwa hakuna rais alichukiwa kama nyerere
Nothing is impossible under the sun.Ni wewe Ally Kessy na mwenzako Job Ndugai, tumewasikia vizuri sana, ila nawahakikishia kuwa Rais Magufuli hataongezewa muda hata dk 10 tu.
iacheni Tanzania Kama ilivyo, narudia tena haitawezekana hata iweje,
Chuma kinachoogopa upinzani?Chuma kimefanya vizuri tunakiongezea muda
Hutaelewa, ungekuwa wakuelewa ungeyasema mwenyewe!Hivi mnaweza kutusaidia sisi mangumbalo JPM kafanya lipi exceptional tofauti na waliomtangulia??
Naelewa hofu yako na pengine naisapoti dhamira yako ya kutaka, kuomba na kutamani hili jambo lisitokeeNi wewe Ally Kessy na mwenzako Job Ndugai, tumewasikia vizuri sana, ila nawahakikishia kuwa Rais Magufuli hataongezewa muda hata dk 10 tu.
Tanzania siyo Rwanda, Tanzania siyo Burundi, Tanzania siyo Uganda, iacheni Tanzania Kama ilivyo, narudia tena haitawezekana hata iweje, [emoji116]View attachment 1474625
Ni wewe Ally Kessy na mwenzako Job Ndugai, tumewasikia vizuri sana, ila nawahakikishia kuwa Rais Magufuli hataongezewa muda hata dk 10 tu.
Tanzania siyo Rwanda, Tanzania siyo Burundi, Tanzania siyo Uganda, iacheni Tanzania Kama ilivyo, narudia tena haitawezekana hata iweje, [emoji116]View attachment 1474625