Mwl Nyerere: Hata mimi walinambia using'atuke nchi bado inakutegemea, nikaja jua kumbe nchi ni familia zao, hawana uhakika na ajira zao nikiondoka

Wengi wanaoshabikia kuongeza muda wa madaraka ya JPM Wana hofu zao na familia zao. Hivi JPM akimaliza madaraka yake itakuwaje kwa Bashite, Kale Man, two lia...nk yaani Ni hofu imewajaa kutokana na matendo yao. Watahama nchi.
 
Mkuu wa nchi Alishasema haongezi muda.
Tuachane na Hawa jamaa. Sio wasemaji rasmi wa Rais. Muhimu kwa sasa Hawa wabunge Alina Kessy wasirudi bungeni Tena kunajisi bunge letu tukufu.
Hakuna kitu hapo
 
Wengi wanaoshabikia kuongeza muda wa madaraka ya JPM Wana hofu zao na familia zao. Hivi JPM akimaliza madaraka yake itakuwaje kwa Ndugai, Bashite, Kale Man, two lia...nk yaani Ni hofu imewajaa kutokana na matendo yao. Watahama nchi.
Wengi zaidi ni wajinga wasiopenda kutumia kabisa ubongo wao, na ndio wanaowapa kichwa hao "Wengi" wanaotumwa na Magu mwenyewe!

Mzee anapenda sana utukufu... kwa bahati mbaya hana hata sifa ya kuwa mheshimiwa hana!..amepoteza sifa!
 
Nyerere katika moja ya hotuba alosema

"Kila nilipokuwa nikitaka kung'atuka walikua wakiniambia "Mwalimu endelea tu, hii nchi ni changa na umeitoa mbali. Nchi hii haitaendelea bila wewe", nami niliendelea hadi pale nilipokuja kugundua kumbe nchi changa waliyoiongelea ni familia zao, na hazitaendelea bila mimi kuwepo madarakani, maana walikuwa hawana uhakika kama raisi ajaye atawaacha katika nafasi walizokuwa nazo.

Rais anahusika kuchagua wazito wengi kuanzia wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, ma rpc, wakuu wa vitengo, n.K


Ni wazi kabisa kuna hofu ya viongozi kung'olewa madaraka waliyo nayo kwa sasa endapo tukipata raisi mpya 2025,
 
Magu atawale milele haijawahi tokea rais kama uyu alisikika mlevi mmoja akiongea
 
Njaa ni mbaya sana, watu hawana uhakika wa kurudi jimboni.
 
Magu akistaafu atabaki na jeraha la moyo kama Nyerere, ben na jk tofauti na mwinyi mzee wa ruksa na mwadilifu moyoni

Wengi wanaogopa majeraha ya moyo kwan yanatesa na hutamani bora ufe kuliko kushuhudia uliyajenga yanapuuzwa

Watawala wa nchi hii ni wapuuzi sana

Vitu vinabadilika, vinakufa, vinapotea lkn mfumo haufi kirahisi bali kwa kuuimarisha hivyo utag'ara kama dhahabu safi

Mfumo wa nchi ujengwe upya hayo ndiyo mabadiliko ya kweli tofauti na vitu

Lkn huko hatuta kwenda tukiwa na wapuuzi wengi bungen
 
Huyu ana chuki binafsi na mwalimu, mwalimu alikuwa binadamu na kama binadamu alikuwa na mapungufu yake lakini ukilinganisha mapungufu na mema yake akiwa madarakani mema yalizidi mapungufu yake.Kama angekuwepo tusingepata rais wa aina hii na ingetokea tunapata angetoka waziwazi na kumkemea na sio kunyamaza kama tunavyoona yanayotokea sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…