We sema tu ni mweupe nitakuelewa, si kudanganya.
Teh! teh ! teh!
Wewe kumbe ni bure kabisa kwa vile inelekea hujui theories nyingi unazotaka kuzitumia. In this case, theory ya elasticity; nitakusaidia.
katika elastic region, Hookes Law inasema kuwa stress is linearly proportional to strain, na constant of proportionality inajulikana kama youngs modulus au Modulus of elasticity (E). Kwa vile stress= F/A na strain= e/l, ndipo tunapata
F/A=Ee/l ambazo ukizichanganya unaishia kupata
F=(EA/l) e
Kwa hiyo elastic constant au stiffness constant k ni (EA/l). Value ya k ndiyo inayotakiwa katika maswali ya kinetics of particles. Kama ulikuwa umetoa E,ni lazima ulitakiwa utoe cross section ya hiyo wire yako (A) kusudi wanafunzi wako waweze kutafuta value ya k.
Kwa materials ambazo hazi-obey Hooke's law, zinajulikana kuwa na nonlinear stifness, ni lazim u-specify namna ambavyo k inavyohusiana na extension (e), kwa mfano k=2e
Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
kweli babu...."point"...ualimu na upolisi ndo kimbilio lao hao failures!!!
Mswali ya mtihani huo yana mamtatizo mawili:
(a) Maswali mengine hayako specific; kwa mfano swali la kwanza linauliza direction, lakini haliko specific katika kuspecify direction relative to what: direction relative to horizantal axis or vertical axis or what.
(b)Maswali mengi yanahuhisha gravity, lakini hayakueleza conditions za gravity. Kwa Tanzania acceleration due to gravity ni 9.85m/s^, wakati sehemu nyingi za Ulaya value hiyo ni 9.81m/s^2. Swali lingekamilila kwa kuspecify value ya g.
(c) Baadhi ya maswali yameandikwa kwa kiingereza kibovu chenye makosa kinachoweza kusababisha mtahiniwa aelewe swali kinyume na anavyotakiwa kulielewa.
Teh! teh ! teh!
Wewe kumbe ni bure kabisa kwa vile inelekea hujui theories nyingi unazotaka kuzitumia. In this case, theory ya elasticity; nitakusaidia.
katika elastic region, Hookes Law inasema kuwa stress is linearly proportional to strain, na constant of proportionality inajulikana kama youngs modulus au Modulus of elasticity (E). Kwa vile stress= F/A na strain= e/l, ndipo tunapata
F/A=Ee/l ambazo ukizichanganya unaishia kupata
F=(EA/l) e
Kwa hiyo elastic constant au stiffness constant k ni (EA/l). Value ya k ndiyo inayotakiwa katika maswali ya kinetics of particles. Kama ulikuwa umetoa E,ni lazima ulitakiwa utoe cross section ya hiyo wire yako (A) kusudi wanafunzi wako waweze kutafuta value ya k.
Kwa materials ambazo hazi-obey Hooke's law, zinajulikana kuwa na nonlinear stifness, ni lazim u-specify namna ambavyo k inavyohusiana na extension (e), kwa mfano k=2e
Ndugu yangu kichuguu naona unaijua kweli physics lakini kwenye hili naona kuna shida, for elastic string relationship btn T and x is
where T-tension, modulus of elasticity ,x is etension and l is natural length.Kwa maelezo zaidi unaweza kutembelea hapa, au Kasome kitabu hiki Physics for A-level by L. Bostock and S. Chandler page 185.
Usiseme bwana mtaalamu wa physics haoni tofauti kati ya gravitational field strength na acceleration due to gravity. Na baadae atasema ni sawa tu gravitational potential, nina mashaka naye huyu mwanasayansi wa kudesa
KilazaNa wewe ni mwalimu wa Phyiscs?
Kama ni mwalimu wa Phyiscs huenda utakuwa unafahamu tofauti ya quantities hizi EA, EI na EJ. Hiyo unayoongea wewe \lambda ni EA. Google term hiyo "Modulus of Elasticity" au soma vitabu mbalimbali vya Solid Mechanics au Continuum Mechanics utapata jibu sahihi. Sina uhakika kitabu ulichonipa link yake kiliandikwa na mtu mwenye upeo upi katika field hii kwa vile hakikufunguka kwangu. Una haki ya kukubaliana nami au kuachana nami, ila nina uhakika na ninachoongea; mimi ni mwalimu wa siku nyingi sana kwenye field hii.
Elementary mechanics ni zile hatua za mwanzo mwanzo za Classical Newtonian Mechanics kulingana na maswali yako uliyoweka hapo ambayo hayahitaji hata Lagrangian Mechanics; ukitaka twende ndani zaidi ya hapo niko tayari tuongee.
Hakuna classical mechanics ambayo siyo Langrangian, shame
Maswali ya form I yamekukamata mtu na degree yako ya UDSM? Follow the given instructions no alterations are allowed!
Elementary mechanics ni zile hatua za mwanzo mwanzo za Classical Newtonian Mechanics kulingana na maswali yako uliyoweka hapo ambayo hayahitaji hata Lagrangian Mechanics; ukitaka twende ndani zaidi ya hapo niko tayari tuongee.
Hebu nipe na hatua za awali za kutreat classical problem as langrangian. Maana wewe ndo unanilead na nitaenda unapoenda, ili nikukamate hapa JF
.(b) Kudai kuwa mwanafunzi wa form two atafanya assumption ya g ndiko kunawakosesha elimu pana watoto wetu kwani nyie mnawafundisha kukariri kuwa g ni 10m/s^2 wakati siyo kweli. Value halisi ya g ni (GMe/R_e^2) wakati G ni universal gravitational constant, M_e ni mass of earth and R_e ni distance from the center of earth. Kwa vile R_e inabadilika kulingana na kina kutoka usawa wa bahari na vile vile kulingana na latitude (kwa vile dunia ni oval), huwezi kumkaririsha mtoto kuwa g=10 m/s^2 ukadai kuwa unajua. Experiment ikifanyikia Njombe kwenye nyanda za juu, haiwezi kuleta matokeo sawa na yale ya Dar es Salaam kwenye usawa wa bahari. Ni kawaida kwenye mitihani kuweka statement kuwa assume the value of g to be 9.81m/s^ au 10m/s^2; ulitakiwa ufanye hivyo ili kuzuia ambiguity kwenye mtihani wako.
degree ya udsm inakubabaisha eehMaswali ya form I yamekukamata mtu na degree yako ya UDSM? Follow the given instructions no alterations are allowed!
Ahsante kaka.Mimi ni mwl wa Physics na Math mwenye DIPLOMA.Wanaotoka Vyuo vikuu wakija kuanza kazi za kufundisha Maths wanashindwa.Mpaka wanaomba msaada.Akaombe kuwa DAKTARI,MHASIBU,POLISI.n.k.Wote wanaomsuport wanasahau wamefundishwa na qualified teacher?
Kichuguu nmekupa test yenye full instructions tena kiingreza chake kimenyoka si kama nilitunga mtihani mwingine ule. Kwa kuwa wewe ni Mwanafizikia wa Daraja la kwanza tena unayeijua vizuri elementary particle mechanics huu ndio wanja wako bro/sister
View attachment 59098
Fanya huu mtihani nikupe kazi
View attachment 58947
Na waliofaulu au ma genius wanakimbilia wapi? Ikulu? nini!! Nasikia marais na wabunge wote ni magenius, ni kweli?!