Mwonekano mpya wa JECHA na updates zake

Mwonekano mpya wa JECHA na updates zake

View attachment 332321
Lile gwiji la kusimamia chaguzi barani afrika mr Jecha S jecha limekuwa tipped kupata tuzo ya nobel baada ya kuwakosha wapenda amani duniani kwa kusimamia vyema uchaguzi wa zanzibar ulioweka rekodi kwa incumbant mheshimiwa Shein kupata 91 percent na hivyo kudhihirisha anavyopendwa kupita kiasi
na attach picha kwa mujibu wa gazeti la kibongo likionyesha muonekano mpaya wa gwiji hilo la uchaguzi linalomuamini Allah na ambalo linatenda haki siku zote

Upo uwezekano wa JF kufungiwa kama itaendelea kumchezea 'Head of state'
 
View attachment 332321
Lile gwiji la kusimamia chaguzi barani afrika mr Jecha S jecha limekuwa tipped kupata tuzo ya nobel baada ya kuwakosha wapenda amani duniani kwa kusimamia vyema uchaguzi wa zanzibar ulioweka rekodi kwa incumbant mheshimiwa Shein kupata 91 percent na hivyo kudhihirisha anavyopendwa kupita kiasi
na attach picha kwa mujibu wa gazeti la kibongo likionyesha muonekano mpaya wa gwiji hilo la uchaguzi linalomuamini Allah na ambalo linatenda haki siku zote
NIKIWAAMBIA CCM UOVU UMEONDOA UFAHAMU WAO MNAKATAAGA.
 
Jecha anatakiwa na timu saba za ulaya kwa ajili ya ugolkipa maana hata goliblikiingiavanaweza kulifuta .baca .madrid.manU .asenal bayarn .chelsea na psg
 
View attachment 332321
Lile gwiji la kusimamia chaguzi barani afrika mr Jecha S jecha limekuwa tipped kupata tuzo ya nobel baada ya kuwakosha wapenda amani duniani kwa kusimamia vyema uchaguzi wa zanzibar ulioweka rekodi kwa incumbant mheshimiwa Shein kupata 91 percent na hivyo kudhihirisha anavyopendwa kupita kiasi
na attach picha kwa mujibu wa gazeti la kibongo likionyesha muonekano mpaya wa gwiji hilo la uchaguzi linalomuamini Allah na ambalo linatenda haki siku zote
Hahaha smack the fool that disagree with the pedigree.
 
Ha ha ha eti gwiji mwandishi una mchokonoa Mr Jecha mwenyewe kisha maliza kazi yake
 
siku moja nilipotea njia nikaingia choo cha kike, wakati nataka ghafla kugeuza kurudi, dada mmoja aliniambia huku akiwa anavua nguo badala ya kuvaa, "kaka usirudi hii ni bahati yako".
Sikujua bahati gani
Kondom ulikuwa nazo? Siku nyingine ukiwa baa uwe nayo mfukoni kama hapo unaivaa unamaliza kazi
 
Nasikia Jecha kasimamisha sikukuu ya Pasaka Zanzibari mpaka atakapochaguliwa makamo wa kwanza Zanzibari?
 
Back
Top Bottom