Naishi Goba Four Ways naenda kazini posta natumia masaa mawili, kurudi natumia masaa matatu hadi mane!Upo pori gani mkuu hata huoni foleni ikipungua
Sema tu Goba njia nne mkuu uzungu wanini, nina demu kanisa la lutheranNaishi Goba Four Ways naenda kazini posta natumia masaa mawili, kurudi natumia masaa matatu hadi mane!
Huwezi jua umuhimu wake sababu hutumiiHii miradi mizuri kwa macho na kiasi flan inapendezesha mji lakini sioni ikipunguza foleni!
Kwani hukuelewa?Sema tu Goba njia nne mkuu uzungu wanini, nina demu kanisa la lutheran
Angalie vizuri majengo yote yameonyeshwa..Hawa taalama wanaoandaa hizi video wajaribu kuweka uhalisia (existing reality). Ubungo gani iko katika pori hivyo? Wanataka kusema watavunja hizo nyumba zote ikiwemo Songas wapande miti?
Na wewe ni designer? hapo Tanesco kituo cha kupozea umeme upo wapi? au shell na songas ziko wapi?Angalie vizuri majengo yote yameonyeshwa..
Kama majengo yote yemeoneshwa na hata huo Ukijani upo Ubungo basi nina shida kubwa ya macho.Angalie vizuri majengo yote yameonyeshwa..
mkuu wala huna shida ya macho,aliyepost ni zuzu moja wa ccm in someone voiceKama majengo yote yemeoneshwa na hata huo Ukijani upo Ubungo basi nina shida kubwa ya macho.