Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala ndio ulisababisha iwekwe hiyo mipaka.Dunia ni moja na haina mipaka. Raia wa ulimwengu
Mwingi sana mwaisa.Unyama
Una mawazo kama ya Putin. Kwa nini Tanzania isiwe sehemu ya Uganda au Rwanda , kipi kinahalalisha Rwanda au Uganda ndio ziwe sehemu za Tanzania?Rwanda na Uganda ukiziangalia inaonesha ni ardhi ya Tanzania. Kwanini zikawa nchi na isiwe mikoa ya Tanzania???.
DogKuna mpaka ukikosea kidogo tu, utasikia mtu ana hamaki, SIO HUKO, WEE KAKA UNATAKA KUNIFANYA NINI? TABIA ZAKO MBAYA PELEKA HUKO HUKO KWA WASHENZI WENZAKO.
Hizo ndio nchi zilizo jirani zaidi kuliko zote duniani