Mwonekano wa Rais Samia Suluhu likiongezwa hili utakuwa babu kubwa

tafazalini msihusishe mavazi yake na kusema ndivyo uislamu ,lazima mjue na kuelewa na kueleweshana kabla hamjatoa hukumu kati ya Uislamu na Muislamu hayo ni mambo mawili tofauti na yapo mbali mbali kabisa,
Sina haja ya kuona au kuhukumu nguo anazovaa,hilo ni lake labda tahadhari tu kama ameamua kuintatein uislamu basi Uislamu haumvishi mtu nguo za kubana au zenye upasu. Msije mkakosea mkasema uislamu ndio ulivyo,kila mtu atabeba mzigo wake. Dress code ya Rais mwananmke katika Tanzania kama ipo mimi siijui.
 
Yaan unataka avae ovyo????hlo kwa dini yake halitakiw
 
Anajua kuvaa, hivyo hivyo anapendeza.
Avae ushungi na kipedo ama?
 
 

Attachments

  • VID-20210320-WA0029.mp4
    38.5 MB
Kadri siku zinavyoenda kuna watu wanapoteza hadhi na heshima waliyojijengea huko nyuma, kutokana na siku hizi nao kushiriki ktk kuchangia mambo ya ajabu tena kwa uchangiaji wao wa hovyo kabisa.
 
Rais ni mwanamke TENA NI MUISLAM HAPO NDO MBAYA ZAIDI.
poleni sanaaa .tanzania ya sasa ni ya SAMIA.
R.i.p magufuli.
 
Mama Samia anavaa vizuri tu. Nayapenda sana mavazi yake. Ni ya staha. Yanamkaa vizuri.

Mama wa watu anapendeza sana.
 
Kwani na huyo akiondoka kuna ubaya?.
Au mnampenda sana?.
"MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI"
La hasha! sisi tumefarijika sana ila hao wanaomtembeza mama bila Barakoa ndio wenye nia mbaya
 
Kwani na huyo akiondoka kuna ubaya?.
Au mnampenda sana?.
"MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI"
Kusema ukweli tungependa Raisi wa kuchaguliwa kihalali na Watanzania wala sio unafiki
 
Namuonea huruma sana mama samia.
Unadhani samia ataweza kuwabadilisha ccm na NEC watende haki?.
Kusema ukweli tungependa Raisi wa kuchaguliwa kihalali na Watanzania wala sio unafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…