sio wote ambao hawajatumia vipodoa wako kama ras babu unaweza ukawa handsome fresh kiaina bila mipoowder kibao kama mshkaji babu,acha poda piko,wanja,lip shiner yote hiyo nini dume zima?halafu salon aliyoenda nayo poa yaani cheki sura hapo mirangirangi aaargh!
...sio wote tunaofagilia usela bana!...
kupauka uso au kuwa mchafu mchafu sio dalili ya uanaume vijana....jamaa anapaka mafuta anang'ara tatizo liko wapi?
sio wote ambao hawajatumia vipodoa wako kama ras babu unaweza ukawa handsome fresh kiaina bila mipoowder kibao kama mshkaji babu,acha poda piko,wanja,lip shiner yote hiyo nini dume zima?halafu salon aliyoenda nayo poa yaani cheki sura hapo mirangirangi aaargh!