Mwongozo: Nataka kununua pikipiki kwa mtu

Vyombo vilivyo chini ya cc1000 vilishafutiwa road license toka mwaka juz cha msingi ni kuangalia kadi halisi na kuandikishiana kwa pkpk ni MC hakuna den hapo kbs
jina sio lake mkuu ni jina la aliemuuzia, ila anakadi original, vip inaweza kuleta shida ?
 
Unatakiwa upewe kadi ya pikpik na pkpk yenyewe road license ya ss na gharama Za kubadili kadi ni kama 90000 kwa bajet mpya.... then kama unahtaj nna boxer nauza 1.6 npgie tuongee 0658174016,0783546406
 
Sawa mkuu..
Nitatambuaje kua ina daiwa?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…