Mwongozo: Nataka kununua pikipiki kwa mtu

Mwongozo: Nataka kununua pikipiki kwa mtu

Vyombo vilivyo chini ya cc1000 vilishafutiwa road license toka mwaka juz cha msingi ni kuangalia kadi halisi na kuandikishiana kwa pkpk ni MC hakuna den hapo kbs
jina sio lake mkuu ni jina la aliemuuzia, ila anakadi original, vip inaweza kuleta shida ?
 
Unatakiwa upewe kadi ya pikpik na pkpk yenyewe road license ya ss na gharama Za kubadili kadi ni kama 90000 kwa bajet mpya.... then kama unahtaj nna boxer nauza 1.6 npgie tuongee 0658174016,0783546406
 
Hakikisha unapewa kadi ya piki piki, kadi ya piki piki iwe na jina la anaye kuuzia piki, hakikisha mnakuwa na mkataba wa mauziano kati yenu, hakikisha piki piki hiyo ina road licence ya mwaka huu, pia hakikisha piki piki hiyo haidaiwi na tra kwa sababu usipozingatia hilo unaweza kuta piki piki inadaiwa tra kiwango sawa au nusu ya bei ya mauziano.
Sawa mkuu..
Nitatambuaje kua ina daiwa?..
 
Back
Top Bottom