Mwongozo wa kunyonyesha Mtoto tangu anapozaliwa

Mwongozo wa kunyonyesha Mtoto tangu anapozaliwa

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210602_163023_049.jpg

Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO), Mtoto anapaswa kuanza kunyonyeshwa saa moja baada ya kuzaliwa hii husaidia maziwa ya mama kuweza kutengenezwa kwakuwa mtoto anapowekwa kwenye kifua cha mama huchochea Hormones zinazozalisha maziwa.

Pia husaidia mtoto kupata choo cha mwanzo ambacho huondoa maumivu ya tumbo kwa mtoto

IMG_20210602_163031_209.jpg


Mtoto anatakiwa kunyonyeshwa maziwa ya Mama pekee kwa kipindi cha miezi 6 na baada ya hapo ndipo ataongezewa vyakula vya ziada kwakuwa wakati huo maziwa ya mama hupunguza virutubisho.

Mtoto ataendelea kunyonyeshwa mpaka kufikia miezi 24 au miaka miwili hii husaidia kumkinga mtoto na magonjwa kama utapiamlo
 
View attachment 1806041
Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO), Mtoto anapaswa kuanza kunyonyeshwa saa moja baada ya kuzaliwa hii husaidia maziwa ya mama kuweza kutengenezwa kwakuwa mtoto anapowekwa kwenye kifua cha mama huchochea Hormones zinazozalisha maziwa.

Pia husaidia mtoto kupata choo cha mwanzo ambacho huondoa maumivu ya tumbo kwa mtoto

View attachment 1806042

Mtoto anatakiwa kunyonyeshwa maziwa ya Mama pekee kwa kipindi cha miezi 6 na baada ya hapo ndipo ataongezewa vyakula vya ziada kwakuwa wakati huo maziwa ya mama hupunguza virutubisho.

Mtoto ataendelea kunyonyeshwa mpaka kufikia miezi 24 au miaka miwili hii husaidia kumkinga mtoto na magonjwa kama utapiamlo

Hii sio mpya hii miongozo ilikuwepo toka karne ya 14 hawa wnakumbushia tu. Ila hilo la saa moja baada ya kuzaliwa halina mashiko kwa kua maziwa ya mtoto hutengenezwa mwilini kwa mama yake mwezi mmoja kabla ya mtoto kuzaliwa na anahitajika kupata yale maziwa yakwanza kutoka ni kinga na dawa kubwa kwa mtoto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom